M mchau Member Joined Nov 16, 2024 Posts 89 Reaction score 95 Jul 12, 2025 #1 --- ๐๐ ELIMU KWA WAFUGAJI โ ATHARI ZA NGโOMBE KULA KONDO LA NYUMA BAADA YA KUZAA --- ๐ Tatizo ni nini? Ngโombe kula kondo la nyuma ni hali hatari kiafya. Inaweza kusababisha: --- โ Madhara kwa Mnyama: 1. ๐ Kupungua kwa utoaji wa maziwa 2. ๐ก๏ธ Homa na kukosa hamu ya kula --- โ Nini Cha Kufanya? Mpatie antibiotics (kwa ushauri wa daktari) Tumia dawa za kupunguza homa Mchome oxytocin hormon --- ๐ Kwa Matibabu na Ushauri: Dr. Gilliard โ Daktari wa Mifugo ๐ฑ 0674740836 | 0792263640 --- Lishe bora, usafi, na uangalizi โ ndiyo kinga ya mnyama wako!
--- ๐๐ ELIMU KWA WAFUGAJI โ ATHARI ZA NGโOMBE KULA KONDO LA NYUMA BAADA YA KUZAA --- ๐ Tatizo ni nini? Ngโombe kula kondo la nyuma ni hali hatari kiafya. Inaweza kusababisha: --- โ Madhara kwa Mnyama: 1. ๐ Kupungua kwa utoaji wa maziwa 2. ๐ก๏ธ Homa na kukosa hamu ya kula --- โ Nini Cha Kufanya? Mpatie antibiotics (kwa ushauri wa daktari) Tumia dawa za kupunguza homa Mchome oxytocin hormon --- ๐ Kwa Matibabu na Ushauri: Dr. Gilliard โ Daktari wa Mifugo ๐ฑ 0674740836 | 0792263640 --- Lishe bora, usafi, na uangalizi โ ndiyo kinga ya mnyama wako!
Mr kenice JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 5,546 Reaction score 9,372 Jul 13, 2025 #2 Kwanini inatokea baadhi ya Ng'omne kula kondo. Je inatokea kwa bahati mbaya.
M mchau Member Joined Nov 16, 2024 Posts 89 Reaction score 95 Jul 14, 2025 Thread starter #3 Mr kenice said: Kwanini inatokea baadhi ya Ng'omne kula kondo. Je inatokea kwa bahati mbaya. Click to expand... Hii Hali huwa inatokea ndo maana tunatakiwa kuwa karibu na mifugo yetu kuepuka kula kondo Hilo.
Mr kenice said: Kwanini inatokea baadhi ya Ng'omne kula kondo. Je inatokea kwa bahati mbaya. Click to expand... Hii Hali huwa inatokea ndo maana tunatakiwa kuwa karibu na mifugo yetu kuepuka kula kondo Hilo.