lugoda12 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 311 Reaction score 644 Sep 23, 2024 #1 Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. ππ
Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. ππ
Juuchini JF-Expert Member Joined Dec 10, 2018 Posts 1,923 Reaction score 2,752 Sep 23, 2024 #2 Hatari sana
Munch wa Annabelle JF-Expert Member Joined Aug 13, 2019 Posts 6,351 Reaction score 11,032 Sep 23, 2024 #4 YANGA BINGWA
Munch wa Annabelle JF-Expert Member Joined Aug 13, 2019 Posts 6,351 Reaction score 11,032 Sep 23, 2024 #5 YANGA BINGWA
A Ali d Member Joined Sep 11, 2024 Posts 7 Reaction score 7 Sep 23, 2024 #6 lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... CAFCL wapi wwπ ni CAFCC Usipende ukubwa
lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... CAFCL wapi wwπ ni CAFCC Usipende ukubwa
Interlacustrine R JF-Expert Member Joined Jan 22, 2022 Posts 8,069 Reaction score 15,754 Sep 23, 2024 #7 lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... Ni CAFCL au CAFCCL? Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... Ni CAFCL au CAFCCL? Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
beefinjector JF-Expert Member Joined Jul 23, 2009 Posts 2,762 Reaction score 2,736 Sep 23, 2024 #8 lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... Acha kuota. Simba haiko CAFCL.
lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... Acha kuota. Simba haiko CAFCL.
Tajiri Tanzanite JF-Expert Member Joined Oct 23, 2016 Posts 2,966 Reaction score 5,558 Sep 23, 2024 #9 Yanga wameanza mbinu za kutaka kupangiwa timu mbovubovu makundi
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Sep 23, 2024 #10 Tajiri Tanzanite said: Yanga wameanza mbinu za kutaka kupangiwa timu mbovubovu makundi Click to expand... Heee....
Tajiri Tanzanite said: Yanga wameanza mbinu za kutaka kupangiwa timu mbovubovu makundi Click to expand... Heee....
VOICE OF MTWARA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 3,099 Reaction score 2,209 Sep 23, 2024 #11 Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Abul Aaliyah JF-Expert Member Joined Nov 8, 2016 Posts 7,828 Reaction score 5,968 Sep 23, 2024 #12 VOICE OF MTWARA said: Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale? Click to expand... Na hii ni maana haswa ya utopwinyo
VOICE OF MTWARA said: Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale? Click to expand... Na hii ni maana haswa ya utopwinyo
T Tsyamatsy JF-Expert Member Joined Sep 9, 2023 Posts 308 Reaction score 454 Sep 23, 2024 #13 Interlacustrine R said: Ni CAFCL au CAFCCL? Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work. Click to expand... Na Elimu ni bure/ Education is not for sell! @ Kazi kweli kweli/ Job true true
Interlacustrine R said: Ni CAFCL au CAFCCL? Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work. Click to expand... Na Elimu ni bure/ Education is not for sell! @ Kazi kweli kweli/ Job true true
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 11,339 Reaction score 25,858 Sep 23, 2024 #14 Wamchunge kwa sababu kakufurahisha wewe au?
Smt016 JF-Expert Member Joined Jan 11, 2016 Posts 3,577 Reaction score 5,263 Sep 23, 2024 #15 lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... Ni kawaida sana kwa mashabiki wa Simba ndio maana wakaitwa mbumbumbu. Onana alifunga goli mbili dhidi ya Wydad wakaimbishwa wimbo mpya wa kumuona ni bonge la straika na ikafikia hatua hadi kuomba msamaha kwa Onana kwa kumkosoa
lugoda12 said: Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. ππView attachment 3104225 Click to expand... Ni kawaida sana kwa mashabiki wa Simba ndio maana wakaitwa mbumbumbu. Onana alifunga goli mbili dhidi ya Wydad wakaimbishwa wimbo mpya wa kumuona ni bonge la straika na ikafikia hatua hadi kuomba msamaha kwa Onana kwa kumkosoa
H Humble be JF-Expert Member Joined Oct 18, 2015 Posts 3,112 Reaction score 5,075 Sep 23, 2024 #16 VOICE OF MTWARA said: Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale? Click to expand... Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?π
VOICE OF MTWARA said: Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale? Click to expand... Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?π
Lord Delamere in Kenya JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 5,278 Reaction score 10,276 Sep 23, 2024 #17 VOICE OF MTWARA said: Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale? Click to expand... Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa. Ila kwa Ateba ukijichanganya kosa moja tu, anakuadhibu.
VOICE OF MTWARA said: Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale? Click to expand... Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa. Ila kwa Ateba ukijichanganya kosa moja tu, anakuadhibu.
K Kosugi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2019 Posts 19,212 Reaction score 31,353 Sep 23, 2024 #18 EP INDIA COSMETICS STORE said: Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?π Click to expand... Mzize kafunga magoli magumu zaidi ya Ateba. Chukulia mfano mechi ya msimu uliopita Yanga vs El merreikh. Usiropoke mkuu ongea.
EP INDIA COSMETICS STORE said: Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?π Click to expand... Mzize kafunga magoli magumu zaidi ya Ateba. Chukulia mfano mechi ya msimu uliopita Yanga vs El merreikh. Usiropoke mkuu ongea.
K Kosugi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2019 Posts 19,212 Reaction score 31,353 Sep 23, 2024 #19 Lord Delamere in Kenya said: Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa. Ila kwa Ateba ukijichanganya kosa moja tu, anakuadhibu. Click to expand... Ndivyo unavyojidanganya!??
Lord Delamere in Kenya said: Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa. Ila kwa Ateba ukijichanganya kosa moja tu, anakuadhibu. Click to expand... Ndivyo unavyojidanganya!??
M Mjubheli JF-Expert Member Joined Sep 12, 2024 Posts 469 Reaction score 475 Sep 23, 2024 #20 Uto watapinga hadi liwakute Jambo. Bado wandhani kuna wala rushwa pale simba