Papaa Mobimba JF-Expert Member Jan 27, 2018 754 3,103 Apr 23, 2020 #1 Abiria wote kuvaa barakoa wakati wote wa safari katika kipindi hiki cha COVID-19
Ethical Ninja CEH Snr JF-Expert Member Nov 3, 2019 354 753 Apr 23, 2020 #2 Oh! Safari zimeanza kama kawaida
Mgariga Senior Member Apr 1, 2011 178 62 Apr 23, 2020 #3 Leo asubuhi bombardier ilikuwa inazunguka angani hapa Dodoma muda mrefu haitui, kulikoni? Sent using Jamii Forums mobile app
Leo asubuhi bombardier ilikuwa inazunguka angani hapa Dodoma muda mrefu haitui, kulikoni? Sent using Jamii Forums mobile app
msindikizaji JF-Expert Member Aug 29, 2010 1,763 2,883 Apr 23, 2020 #5 Hivi abiria wakishuka wanasanitize ndege nzima before wengine kuingia au ? Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi abiria wakishuka wanasanitize ndege nzima before wengine kuingia au ? Sent using Jamii Forums mobile app
mng'ato JF-Expert Member Oct 27, 2014 29,204 48,987 Apr 23, 2020 #6 Barakoa za kushona au zile nyingine?
Omusolopogasi JF-Expert Member Aug 31, 2017 7,105 18,015 Apr 23, 2020 #8 Mkuu wa nchi amekwishasema kuwa hizo mask zina corona. Sasa wao kwa nini walazimishe watu wavae. Watakuwa wanatania tu.
Mkuu wa nchi amekwishasema kuwa hizo mask zina corona. Sasa wao kwa nini walazimishe watu wavae. Watakuwa wanatania tu.
Elungata JF-Expert Member Jan 28, 2011 40,205 33,229 Jun 4, 2020 #10 mng'ato said: Barakoa za kushona au zile nyingine? Click to expand... Barakoa zote ziko sawa
K kamwamu JF-Expert Member May 18, 2014 4,488 3,266 Jun 4, 2020 #11 Mgariga said: Leo asubuhi bombardier ilikuwa inazunguka angani hapa Dodoma muda mrefu haitui, kulikoni? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Itakuwa ilikuwa inapima kama kuna corona
Mgariga said: Leo asubuhi bombardier ilikuwa inazunguka angani hapa Dodoma muda mrefu haitui, kulikoni? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Itakuwa ilikuwa inapima kama kuna corona
I ibanezafrica JF-Expert Member Oct 23, 2014 7,261 6,546 Jun 4, 2020 #12 Mnavaa barakoa halafu wote mnabadilishana hewa hiyo hiyo ndani Ya pipa
ram JF-Expert Member Oct 5, 2007 9,267 8,367 Jun 4, 2020 #13 Papaa Mobimba said: Abiria wote kuvaa barakoa wakati wote wa safari katika kipindi hiki cha COVID-19 View attachment 1427869 Click to expand... Zile korosho zetu na kahawa itakuwaje sasa
Papaa Mobimba said: Abiria wote kuvaa barakoa wakati wote wa safari katika kipindi hiki cha COVID-19 View attachment 1427869 Click to expand... Zile korosho zetu na kahawa itakuwaje sasa