Marehemu alisahihisha kauli yake muda aliotaja ulipopita bila utabiri kutimia,ni kati ya utabiri ambao binafsi sikuupenda kabisa!RIP Sheikh Yahya Hussein
hivi ni nani ambaye hatakufa? How can you claim to predict the obvious? angekuwa mtabiri basi angetabiri siku na saa ya kifo na siyo kusema tu kuwa asipotubu atakufa!!