Ze Pro-Money
Member
- May 4, 2012
- 30
- 6
Kuwa na kifua chenye ukubwa tofauti (yani upande mmoja wa kifua ni mkubwa kuliko mwingine) Nini chanzo chake na je kuna tiba yake? Msaada tafadhali!
Mkuu Ze Pro-Money, "Asymetrical chest", kutokuwa na usawa/ulinganifu wa kifua..huweza kusababishwa na mambo mbalimbali zikiwepo
-Magonjwa ya Kurithi.
-Magonjwa ya kuzaliwa nayo.(mf. viungo vikubwa)
-Magonjwa mengi baada ya kuzaliwa( Infections, Kansa, Matibabu-Upasuaji, mitoki, n.k)
Hata hivyo muda wa tatizo(Lilikuwepo/lilianza lini, tabia ya ukuaji wake(homa, kupungua uzito), n.k pamoja na vipimo mbalimbali huweza kusaidia kujua hasa tatizo ni nini.
Ahsante mkuu. Lakini nataka kufahamu kama tatizo hili ni la kawaida au la, kwa sababu sijapata kusikia likizungumziwa sana!