Astra 2f @ 28'e,nilesat 7'w,eutelsat 16'e

WATAALAM HABARI YA JIONI..... NILINUNUA DISH LA DSTV NIKIWA NAFAHAM KUWA NNAWEZAANGALIA MATCH ZA UEFA KWA GHARAMA NDOGO, LAKINI BAHATI MBAYA GHARAMA NI KUBWA SANA, NAOMBA MSAADA JINSI YA KUWEZA KUPATA MATCH KWA GHARAMA NDOGO KWA KUTUMIA DISHI NA KING'AMUZI VYA DSTV AU KING'AMUZI GANI NINUNUE ILA NITUMIE DISH LA DSTV (DISHI DOGO "SIZE") KUWEZA KUPATA MPIRA UEFA, EPL.... NK
 
hello wadau
Nahitaji kupata Eutelsat 7 at 7.3W (E7WA) kwa ajili ya BeinSport and MBCs channels. Ninalo dish la KU size 240cm (8ft). Nipo Dar.
Vipi mkuu ulifanikiwa kuitrack hiyo sat?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…