kaka jaribu kuwasiliana na jamaa wa UCC (university Computing Centre) jamaa wakali sana wa software; mimi kuna moja nimewahi kutumia kama unayotafuta walitengeneza wenyewe.
So please jaribu kuwasiliana nao jamaa kwa namba hizi 0744 782120 au mail ucc@udsm.ac.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.