Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,902
Acheni uoga mbona Nabii daniel alipambana na serikali mpaka ikanyooka hadi mfalme Nebuchadnezzar akasalimu amri...... Pia shadrack meshack na abednego walipambana na serikali kisa misimamo ya kidini na serikali ilikuja kusalimu amri
Narudia Tena hakuna serikali ina nguvu zaidi ya Mungu.... Kma Kakobe kweli ana Mungu basi siku mkimgusa ndio mtaelewa nasema nini
zitto junior ,
Hizo za Daniel ilikuwa wakati wa mambo ya agano la kale.
Baada ya Yesu kuzaliwa utendaji wa Mungu ulibadilika.
Siku hizi utubu au unakufa unasubiria hukumu hapo baadae.