GE2025 Askofu Gwajima: Naombeni ndani ya siku 10 fungueni Makanisa ya Ufufuo na Uzima, msipofungulia nitasema neno ambalo watu watastaajabu!

GE2025 Askofu Gwajima: Naombeni ndani ya siku 10 fungueni Makanisa ya Ufufuo na Uzima, msipofungulia nitasema neno ambalo watu watastaajabu!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Haya mambo ya kutishia tishia mpaka mmewafanya hawa wa KIJANI kuwa sugu sasa...

  • Ukimsikilizia Mpina utadhani hapo hapo...hola
  • Mara anatokea Gwaji, unasema kesho kinawaka...hola
  • Vuuuum, slo slo huyu...imegeuka shule na ushauri nasaha

Wale wa humu nao washapoteana...wamebaki kujifariji, litatokea jambo kubwa..wapi, hagombei..yupo

Kama kuna mnalotaka kufanya, fanyeni basi, tusitamanishane kizembe zembe tu kila mkijisikia
 
Haya mambo ya kutishia tishia mpaka mmewafanya hawa wa KIJANI kuwa sugu sasa...

  • Ukimsikilizia Mpina utadhani hapo hapo...hola
  • Mara anatokea Gwaji, unasema kesho kinawaka...hola
  • Vuuuum, slo slo huyu...imegeuka shule na ushauri nasaha

Wale wa humu nao washapoteana...wamebaki kujifariji, litatokea jambo kubwa..wapi, hagombei..yupo

Kama kuna mnalotaka kufanya, fanyeni basi, tusitamanishane kizembe zembe tu kila mkijisikia

maonyo ya Mungu kwa mtu huwa hata zaidi ya mara tatu. Kishindo kikuu mtakiona baada ya hapa.
 
Salaam!

Siku 10 SI nyingi, ni hapo tu 24 August, ahadi hii murua imetolewa na baba Askofu Gwajima,

Ahadi hiyo ni kwamba, ndani ya siku 10 , yasipofunguliwa makanisa yote nchini ya ufufuo na uzima, ataongea na kiongozi Mkuu moja kwa moja kama ambavyo amewahi kufanya awamu zilizopita.

Tutakumbuka awamu ya nne, ilianza ligi kati yake na shehe Yahaya nyuma yake akiwepo kiongozi mkubwa, matokeo tunayajua, ikaja awamu ya Tano, Yeye na Bashite, mshindi anajulikana, sasa utamuweza?

Tutakuwepo.

Mungu Mbariki Nabii wetu mzalendo Mchungaji Gwajima.

Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Back
Top Bottom