Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima amesema ndani ya siku 10 serikali ifungue Makanisa ya Ufufuo na Uzima, lakini yasipofanyika hivyo atasema neno ambalo watu wote watastaajabu!
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!