Tunashukuru kwa habari hii.Lakini,kichwa cha habari kingekuwa "Askofu atuhumiwa/ashtakiwa kwa kubaka" ili kulinda maadili ya uandishi wa habari. Jinsi ilivyo,ni kama kesi imeshakwisha na mshtakiwa ametiwa hatiani na kuhukumiwa.
Hivi wewe mtoa mada una droo attention ya watu eti ! Askofu , uaskofu kapewa nanani au mtu akijivutia mabangi yake mtaani na kujiaata askofu na ninyi mnasema askofu? uaskofu una hehima zake na taratibu zake za kusimikwa. Kwa yali makanisa yaiotoroka ROMAN CATHOLIC na kwenda kujianzishia vikanisa vyao wakasahau kubeba sylubus ya namna ya kuandaa viongozi wakanisa warudi wakampigie magoti PAPA au askofu wa mahala husika. Tofauti na hapo watu watakuwa wanajitundika majina makubwa ambayao hawajasomea wala kusimikwa na kuishia kuchafua majina ya watu waliorasimishwa
Tunashukuru kwa habari hii.Lakini,kichwa cha habari kingekuwa "Askofu atuhumiwa/ashtakiwa kwa kubaka" ili kulinda maadili ya uandishi wa habari. Jinsi ilivyo,ni kama kesi imeshakwisha na mshtakiwa ametiwa hatiani na kuhukumiwa.