Askari watwangana hadharani

Mh!! Kuna kipindi nilikuwa mbeya Chuo cha mag nakijua kilipo,kipo bondeni kando ya MTO kiwira nadhani jamaa wanasafiri mwendo mrefu xana kwa mguu,,walikuwa wakipita maeneo ya KK SAA 1 jioni hadi kesho yake asubuhi ndo tunawaona wanarudi tokea Tukuyu na bunduki zao,,,Kiwira- tukuyu km 112 hazipungui kwhy swala la ukakamavu nadhani wako vzr mno
 
Km 112 ni umbali wa Mbeya -Kyela(Km 110)
Kiwira -Tukuyu ni km 18.
 

Ingekuwa mkoani huku kama Arusha hivi watu tungekuwa tunasubiri CD ya pili ya hiyo movie
 
File wengi nidhamu ndogo
 
Acha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
Mzee acha kuongopea mm nimeishi ukonga acha kufananisha magereza kikosi maalumu (k m) na f f u
 
Mzee acha kuongopea mm nimeishi ukonga acha kufananisha magereza kikosi maalumu (k m) na f f u
'Km' ni maboya tu usifananishe na hao jamaa 'km' wanachojua wao nikujifunza kurusha ngumi tu hakuna cha zaidi,sasa kurusha ngumi hata sisi raia wa kawaida tunaweza.Madini ya ffu(tactics) wameyapatia Jordan ila 'km' madini yao ni ya hapa hapa(Bongo).Ffu ipo juu milele.!!
Unachofanya hapa nikufananisha komando aliyechukua mafunzo ya ukomandoo nchini China na yule aliyepata mafunzo bongo(Ngerengere).
 
Mkuu fika pale km garden uwanjani asubuhi uwone km wanavyo fundishwa na wachina na wakorea alafu nenda kule f f u juu Mombasa near mzambarauni utajua nani mkali aise pale km zamani palikuwa na nyumba kambi za wanajeshi (makomando) f f uu juu kule ni kulenga shaba tu
N:B kikosi maalamu km wakiwa mafunzoni si ruhusa raia au mtu ambae simuhusika kusogea eneo LA mazeozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…