Sigara hapa namba 1 mahamoud nyalusi 2 suleiman mkati 3 aziz nyoni "njalambaya" 4 Peter Lucas kaka yake George lucas "gazza" aliekuwa anachezea simba 5 maarufu yassin 6 muscut said 7 rashid mmanga 8 abdallah sumbwa 9 gebo peter 10 muhidin sisso 11 shabban anania, kocha mkuu marehemu mansur magram hiyo mwaka 1988 mkuu.