Asilimia 6 ya HELSB

Inaitwa Retention fee. Kila mwisho wa mwaka inaongezeka Asilimia 6 ya mkopo uliopo kwa wakati huo. Mfano Kama kwa Sasa unadaiwa milion 6 then by December utakuwa umelipa na mkopo wako kubaki milioni 4 then itatafutwa Asilimia 6 ya milioni 4. Kama ikipatikana milion moja Basi itajumlishwa kwenye milioni 4 na hivyo zitakuwa milioni tano siyo nne Tena.
 
Kuna kumaliza deni hapo..??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu kuonesha kuwa ni utapeli.....HELSB hawataki mabenk yanunue hiyo mikopo
 
Body ya mkopo ndio matapeli wakubwa nchi hii
 
wanawaongezea watu deni juu kwa juu kimagumashi kwa sababu wanadhani watu hawajui au siyo wafuatiliaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…