GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,021
- 126,444
- Thread starter
-
- #21
oooh kumbe ww ni ubwabwa,ahsante kwa matangazo yako,na nadhani ndio lilikuwa lengo la huu uzi wako,haya wenye mapenzi yao na hyo kitu washakuskia subiria pm nyingiiiii,halafu mara nyengine ukitaka kuleta jambo hapa usizunguke njoo straight,maana ndio muda wako huu shule zimefungwa
Nimeishi bwenini/Hostel zaidi ya miaka 9, sijawahi ona nyeti za ninaoishi nao.
Hata home kwenye extended family sijawahi ona ,ingawa tunakuwa wengi kwenye single room
achana na hiki kitoto kina matatizo,chenyewe kimesema hapa kama ni ka ubwabwa kasikuumize kichwa
Hiyo ni kweli hasa kwa sisi tuliopitia Jeshi, Shule za Bweni na tuliowahi kuwa kwenye mijumuiko ya wanaume weeeeeeeeengi kwa muda mrefu mambo kama kuoga wote kwa pamoja ni jambo la kawaida,kujisaidi haja ndogo kundi kuubwa kwa wakati mmoja ni jambo la kawaida japo wapo wenye silka za kike za kujitenga/kujificha kwa sababu zao na mara nyingi ni "magovi" au "vibamia". Wanawake ni wachache sana wenye kufanya hivo, lakini wao tofauti yao na sisi ni kwenye kuitana unaweza kuwakuta wanaita kama, my dear,my honey, my sweat, my love na mengine mengi, lakini kwa wanaume hii huwezi kuikuta.
Hayo mi si mageni kwangu kwani nilishaambiwa matusi makubwa zaidi ya hayo nilipokuwa jela, sasa huku uraiani nikiambiwa vijimatusi kama hivo uwa naona kama unaniamkia tu.Afadhali nawe pia umeleta hapa huu " ushuhuda " wako wa ukweli kabisa kwani Watu walidhani nimekurupuka nayo ila nakuomba tu vumilia kwani sasa hivi na Wewe utaambiwa ni " Bwabwa a.k.a Chakula " kama niivyoambiwa Mimi na POPOMA mmoja hivi ambaye hata hivyo tayari nimeashaanza kumjaza katika " frame " na ameanza kujaa " kimtindo ".
Labda nkurekebishe kidogo GENTAMYCINE. Nafijiri ulikuwa unamaanisha hii tabia ya sisi wanaume kuweza kubadilisha nguo au kuvaa nguo mbele ya wanaume wenzetu bila haya na tunaona ni jambo la kawaida tofauti na wa kina dadaz ambao wao ni ngumu sana kuvaa au kuonekana maungo yao na mwanamke mwingine.
kama mshua wangu(kama unavyomuita kidigitali)ndio kakufundisha hako kamchezo nyamaza maana kashatangulia mbele ya haki,kwa hyo hyo unayemsubiria labda umefananisha,ila dah mdogo wangu hyo tabia ya kumvulia nguo mwanaume mwenzako ukainama akaku**** inatia kinyaaa maana inahitaji muhanga wa hali ya juu,and then haina faida sasa bora uache au kama umeshindwa tafuta nchi ukaishi hata kenya maana huko ndio mnaishi bila vikwazo ila anyway leo umejiongezea sana wateja.Mbona " Mshua " wako hamalizi tu Mimi niingie?
same applies to wasichana.. pindi nasoma o'level kilikuwa na utaratibu wa viongoz wa kike kwenda kukagua usafi wa mabweni ya wavulana and vise versa. ( pamoja na utandikaji wa vitanda).
so to cut the story short..na wenyewe huwa wanaranda wakiwa na pichu tu.. eneo la "cleavage" kushuka chini unalikuta tupu
kama mshua wangu(kama unavyomuita kidigitali)ndio kakufundisha hako kamchezo nyamaza maana kashatangulia mbele ya haki,kwa hyo hyo unayemsubiria labda umefananisha,ila dah mdogo wangu hyo tabia ya kumvulia nguo mwanaume mwenzako ukainama akaku**** inatia kinyaaa maana inahitaji muhanga wa hali ya juu,and then haina faida sasa bora uache au kama umeshindwa tafuta nchi ukaishi hata kenya maana huko ndio mnaishi bila vikwazo ila anyway leo umejiongezea sana wateja.
Hayo mi si mageni kwangu kwani nilishaambiwa matusi makubwa zaidi ya hayo nilipokuwa jela, sasa huku uraiani nikiambiwa vijimatusi kama hivo uwa naona kama unaniamkia tu.
Mzee wa chabo makubwa, inaelekea wewe Ni bingwa wa kujichua!Nilikuwa nikipenda sana kuwachungulia wakiwa Hostelini mwao na kuna siku moja nakumbuka nilikuwa nimeingia kumwangalia Dada mmoja hivi alikuwa mgonjwa katika Hostel ya Dada zetu ndipo nikajifunza na hayo mengineyo na kwa Wanawake hiyo ni tabia " endelevu ". Sijui una swali lingine tena Mkuu kwani leo nimejaa tele!
guess u are wrong.Nimekuwa nikijiuliza hili jambo mara kwa mara na kila nikitaka kuliwasilisha kwenu kwa kuwauliza nilikuwa nasahau ila namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa leo nimeweza kulikumbuka hivyo basi kabla sijalisahau tena naliwasilisha kwenu.
Ni kwanini sisi Wanaume hata tukiwa Hostel au Bafuni tunaoga huwa hatufichani viungo vyetu " KOROFI " vya mwilini ( Wakubwa Wanaume na Wanawake mmeshanielewa ) na kuna muda utakuta sisi Wanaume tukiwa Hostels au Chumbani mnaweza mkawa " mnaranda randa " mkiwa na SUTI tu ya Mwenyezi Mungu na " mnara " muda wote unatikisika na wala hamshangaani zaidi tu labda ya kusifiana kuwa fulani ana " mkuyenge " wa maana na mkubwa na mnapotezea lakini kwa Wanawake hali huwa ni tofauti sana ambapo hata wakiwa Hostel au Chumbani huwa wanafichana mno maungo " KOROFI " yao na mara nyingi utakuta hata wakiwa tu wanavaa nguo hujifunika kwa Khanga ili mwenzake asimuone.
Sasa nauliza nini hupelekea tofauti hii kati ya sisi WANAUME na WANAWAKE?
Nitashukuru kwa majibu yenu yaliyo " KUNTU " kabisa na naomba kuwasilisha.
povu la nini choko wewe......sasa nimejua kuwa wewe ni punga.......mabasha tupo....inch 12 utaiweza?Anza kwanza kuuliza umri wa anaye " kubokoa ".