Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,759
Na sisi tunakushukuru Kwa kuonyesha upimbi wako hapa. πππNashukuru sana members wengi wameonekana kupenda jinsi ninavyotoa mchango wa busara, hekima, upendo na akili ya kiwango cha juu humi JF.
Watu kadhaa wanasema nimeokoa maisha yao kipindi ambacho walikuwa wamekata tamaa na kuona bora wafe tu. Watatu walikuwa wamesha saga chupa wanasubiri tu kunywa, wanne walikuwa wamenunua sumu ya panya wakaamua kuacha kunywa wao na kuulia panya.
Wawili walikuwa wakajigongeshe kwenye magari ya mwendo kasi. Nashukuruni ila msinisifie sana mimi ni binadamu kama ninyi sema tu nimepata maarifa ambayo wengi hamkupata.
Mademu sasa ndo imekuwa kero kila mmoja anakuja akitaka nikamchape nao.... Naona hawa kama watanimaliza damu mwilini. Maana wanaenda simuliana inakuwa shida. Jamani tu jaliane pia. Afya ni muhimu. Na ule msemo wenu kuwa kama si JUHUDI ZAKO CHEESE MAARIFER JF INGEKUWA WAPI. Msiseme hivyo mtasababisha watu wanichukie.
π₯π» I am a play boy π₯ π₯ π₯ π₯
Ni Wivu TuNa sisi tunakushukuru Kwa kuonyesha upimbi wako hapa. πππ
Kama mahindi bei si wanunue mchele?Naskia kila sehem watu wanalalamika kuhusu bei ya mahindi
Nimeshapeleka kwa Rais tayariToa mawazo yako kubusu mkataba wa DP world
then mambo mengine yaendelee
Watch out dogo mi sichelewi kukukanaNa sisi tunakushukuru Kwa kuonyesha upimbi wako hapa. πππ
Utarukiwa tu siku zote na wenzio watakuunga mkono kama ambavyo umeamua kutumia ID yako na kuji like comment yako. Unachukia sababu mimi huwa nakuchana ukileta za kiduanzi kujifanya una ujuaji na wengine wanakuogopa sababu ulikuwa unawapa stories za kichawichawi. Mi mental uchawi hauji kwangu bwege wewe.... Nyapu kabisa. Ngurukie tena? Shauri yakomHaitokuwa ajabu umeanzisha huu uzi kisha utajijibu mwenyewe, utajitukana mwenyewe na ukimaliza utajisifu mwenyewe.
NAhisi hizo sifa unazosema unapewa ni kutoka kwenye account zako mwenyewe hivyo unajishukuru mwenyewe. Mental illness is real, bipolar is real.
kwamba wapewe hawa waarabu?Nimeshapeleka kwa Rais tayari
Nimeshauri hata Serikali nayo wapewe hao waarabu maana ishatushinda.kwamba wapewe hawa waarabu?