Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Mhhh!!! Haya mapenzi hayaIjumaa tukakutana tena na wale marafiki zake na kujadili tutumie njia gani, basi nikawapa wazo niliipata humu ya kuwa tutafute cheki cha kuonesha nimeathirika ajue hatuwezi kurudiana,kweli wale marafiki zake wakakubali mmojawao ana rafiki yake ni daktari akaongea nae jana akapata cheti tena chenye tarehe ya mwezi wa nne na kinachoonyesha nimeathirika na ninahudhuria cklinic.
Basi jana jioni tukenda nyumbani kwa mmojawapo wa wale marafiki zake na yeye akaja wakamwambia wameongea na mimi nami nimeomba nimjibu maombi yake mbele ya rafiki zake, nikaanza kwa kumpa pole na matatizo ya ndoa yake then nikamhadithia kuwa nilipoachana nae nilipata bwana akaniambukiza ukimwi na sasa naumwa nikamwonyesha na vyeti vyenye maelezo ya kuugua kwangu,pale ilibidi nivute hisia mpaka machozi yakawa yanatoka ili aamini,basi kusikia vile alistuka yani akawa kama amechanganyikiwa flan akawa ananitizama kwa woga, alisikitika sana na akajiona yeye ndio alisababisha kwan tusingeachana nisingepata hayo matatatizo.
mh! jamani mimi sikubaliani na njia uliyoitumia kumkwepa huyo jamaa, kujipakazia ugonjwa haifai kabisa dada yangu,, bora ungetafuta njia nyingine kabisa mimi mwenyewe kuna mtu alikuwa ananisumbua nilipoona anazidi nikawa hata sipokei simu wala kujibu email, sms zake na nikamwondoa kabisa kwenye list ya marafiki Facebook baada ya kuona niko serious si respond kila anachofanya yeye mwenyewe akaniandikia ujumbe sitakusumbua tena sikumjibu nikakaa kimya mpaka leo akiniona anabadilisha mpaka njia...
Hawezi bwana ni mtu wanaheshimiana na alikuwa ameridhika kunisaidia.huyo daktari atarudi kudai asante yake lol
trust me
NO, Wala sitaki kabisa.umenipa hamu ya kukusumbua aisee...uko tayari?lol
NO, Wala sitaki kabisa.
No, tulikuwa wapnz kwa miaka 2, akawa cha pombe wa kutupa tukagombana tukaachana,akapata mwanamke mwingine akaoa,ggafla akaanza nitishia nisiwe na bf tena kwan yeye anataka turudiane na nikawa kila nikiwa na bf mwingine anawataka kuachana na mie kwani bado ni mpnz wangu,ndio nikaja kuomba ushauri humu.Samahani inshu yako siikumbuki, ulisema umeolewa ila jamaa alikuwa anataka mrudiane?
Na kweli namshukuru mungu sana mkuu.Mshukuru Mungu sana bibie,
mh! jamani mimi sikubaliani na njia uliyoitumia kumkwepa huyo jamaa, kujipakazia ugonjwa haifai kabisa dada yangu,, bora ungetafuta njia nyingine kabisa mimi mwenyewe kuna mtu alikuwa ananisumbua nilipoona anazidi nikawa hata sipokei simu wala kujibu email, sms zake na nikamwondoa kabisa kwenye list ya marafiki Facebook baada ya kuona niko serious si respond kila anachofanya yeye mwenyewe akaniandikia ujumbe sitakusumbua tena sikumjibu nikakaa kimya mpaka leo akiniona anabadilisha mpaka njia...
Nilileta uzi hapa usemao;'Nisaidien nifanye nn ili aniache na maisha yangu'.Nashukuru nilipata mawazo mengi sana kutoka kwenu,na jtano iliyopita nikayatumia kwa kuwafuta maraki zake 2 wanaommudu nikawaeleza situation nzima,kesho yake wakaonana nae wakataka kujua kwanza 7bu za yeye kunifanya vile akawaambia ananihitaji kwa garama yoyote kwana ndoa yake haina aman na mkewe karudi kwao alimpiga mpaka mimba aliyokuwa nayo ikatoka na wazazi wa mke wamemwambia akachue mahari yake so akaona mtu pekee wa kuweza kumwelewa na kuishi nae ni mimi ndio maana yuko radhi kwa lolote ili mradi turudiane,wakamwambia poa asinisumbue tena kwa vitisho wao wataongea na mimi.
Ijumaa tukakutana tena na wale marafiki zake na kujadili tutumie njia gani, basi nikawapa wazo niliipata humu ya kuwa tutafute cheki cha kuonesha nimeathirika ajue hatuwezi kurudiana,kweli wale marafiki zake wakakubali mmojawao ana rafiki yake ni daktari akaongea nae jana akapata cheti tena chenye tarehe ya mwezi wa nne na kinachoonyesha nimeathirika na ninahudhuria cklinic.
Basi jana jioni tukenda nyumbani kwa mmojawapo wa wale marafiki zake na yeye akaja wakamwambia wameongea na mimi nami nimeomba nimjibu maombi yake mbele ya rafiki zake, nikaanza kwa kumpa pole na matatizo ya ndoa yake then nikamhadithia kuwa nilipoachana nae nilipata bwana akaniambukiza ukimwi na sasa naumwa nikamwonyesha na vyeti vyenye maelezo ya kuugua kwangu,pale ilibidi nivute hisia mpaka machozi yakawa yanatoka ili aamini,basi kusikia vile alistuka yani akawa kama amechanganyikiwa flan akawa ananitizama kwa woga, alisikitika sana na akajiona yeye ndio alisababisha kwan tusingeachana nisingepata hayo matatatizo.
Kwa kweli alijutia sana na akaniomba nimsamehe na akanishukuru kwa kutolipiza kisasi kwan ningeweza kukubali turudiane ili nimwambukize,kwakweli tangu mda ule alikosa amani alikuwa mwoga,hata maneno yakawa yanakatika katika akiongea,akaniahidi pale pale kuwa hatarudia tena kunisumbua kwa namna yoyote ile na kuanzia cku ile ataniheshimu sana kwan nimeyajali sana maisha yake kwa kuwa mkweli kwake,akanitaka niwe na amani kabisa,hata kama nikipata mwanaume atakaeridhika kuwa nami ktk kuugua kwangu yeye ameridhika kabisa na wala hatanifatilia tena,tukamaliza kikao yeye akasema kuna mahali anawahi so akaondoka akatuacha, kwakweli atulicheka sana alipoondoka kwani jamaa aliogopa hata kunipa mkono tuagane,wakuu nashukuruni sana sana kwani sasa nina aman tele moyoni,mungu awabariki sana.
Niliamua kutumia njia hii kutokana na mtu mwenyewe,hope mungu atanisamehe kwa hili kwan nia yangu ilikuwa kutafuta amani ya moyo wangu kwa namna ambayo isingenipa madhara wala kumdhuru mwingine.mh! jamani mimi sikubaliani na njia uliyoitumia kumkwepa huyo jamaa, kujipakazia ugonjwa haifai kabisa dada yangu,, bora ungetafuta njia nyingine kabisa mimi mwenyewe kuna mtu alikuwa ananisumbua nilipoona anazidi nikawa hata sipokei simu wala kujibu email, sms zake na nikamwondoa kabisa kwenye list ya marafiki Facebook baada ya kuona niko serious si respond kila anachofanya yeye mwenyewe akaniandikia ujumbe sitakusumbua tena sikumjibu nikakaa kimya mpaka leo akiniona anabadilisha mpaka njia...
Asante mkuu,ujasiri huo nimeupata humuhumu jf!hongera kwa ujasiri wako dada. Bora kakuachia maisha yako
Sorry The boss.nilikuwa namwambia lola..
na wewe naona sitaki nataka lol
huyo daktari atarudi kudai asante yake lol
trust me
Umejuaje! yani hapa ni kimyaaaaaaaa!,mzima lkn?Mmmh! Best hatari lakini salama! Basi kimyaa asije skia umemdanganya!!