Asante Rais Magufuli kwa kuua vyama vya siasa na CCM ya Lowassa

Omuchimati

JF-Expert Member
Aug 23, 2014
427
202
Nakupa tena pongezi mkuu wa kaya JPM,kwa spidi hiii unayoenda nayo, vyama vya siasa na siasa sasa inakufa ndani ya nchi yetu, pamoja na ccm aliotengeneza Lowassa nayo inakufa , hizi ni zama z a HAPA KAZI TU.
 
We need to conduct a research that would help us to find a "catalyst" that would speed up the process of human(mental) evolution in Africa otherwise this continent will continue to lag behind for many years to come.
 
kwa afya ya nchi upinzani unatakiwa uwepo ila uwe sio upinzani wa kupinga kila kitu. tuwe na uzalendo na nchi yetu. ikiwezekana tusaidie kutoa ufumbuzi na kushauri kwa mambo yahusuyo maendeleo ya nchi na watu wake. sio kubaki kulalama tu kama mazuzu. tuanze na mtazamo mpya tumpe ushirikiano Magufuli na serikali yake. tumsaidie hata kumpa majina ya mafisadi ili aendelee kuyatumbua na sio kutetea mafisadi wasitumbuliwe
 
Nakupa tena pongezi mkuu wa kaya JPM,kwa spidi hiii unayoenda nayo, vyama vya siasa na siasa sasa inakufa ndani ya nchi yetu, pamoja na ccm aliotengeneza Lowassa nayo inakufa , hizi ni zama z a HAPA KAZI TU.
If you were twice as smart, you'd still be stupid.
 
JPM tumsaidie na kumuombea aendelee kutumbua majipu kwani yamo hata ndani ya UKAWA n.k

Watu wanasusa bunge kutokana na fedha zao za posho kupelekwa kununulia madawati...hii kali ya mwaka...
 
We need to conduct a research that will help us to find a "catalyst" that would speed up the process of human(mental) evolution in Africa otherwise this continent will continue to lag behind for many years to come.
And what would be your null hypothesis?
 
UPINZANI UTAKUA ZAIDI MIAKA HII MITANO...HAKUNA JIPYA VIGELE GELE VIKIISHA TUNARUDI KULE KULE
 
Jpm anafanya kazi yake inavyotakiwa!upinzani wanatakiwa wajipange upya ili kurudisha trust waliyoipoteza kwa wananchi! Wasipo fanya hayo mapema. 2020 majimbo mengi sana yatarudi CCM!
 
Mbowe kachanganyikiwa, Magufuli mchezo. Mbowe kaangalia mchezo kaona mambo hayaendi, ukizingatia disko kaacha kupiga mude mrefu.Sasa jamaa kaanza kuchukua fedha za bunge, wameona isiwe taabu. Magufuli kamwaga mboga ,wao wanamwaga ugali.
 
kwa afya ya nchi upinzani unatakiwa uwepo ila uwe sio upinzani wa kupinga kila kitu. tuwe na uzalendo na nchi yetu. ikiwezekana tusaidie kutoa ufumbuzi na kushauri kwa mambo yahusuyo maendeleo ya nchi na watu wake. sio kubaki kulalama tu kama mazuzu. tuanze na mtazamo mpya tumpe ushirikiano Magufuli na serikali yake. tumsaidie hata kumpa majina ya mafisadi ili aendelee kuyatumbua na sio kutetea mafisadi wasitumbuliwe
umenena vyema mkuu.
 
Nakupa tena pongezi mkuu wa kaya JPM,kwa spidi hiii unayoenda nayo, vyama vya siasa na siasa sasa inakufa ndani ya nchi yetu, pamoja na ccm aliotengeneza Lowassa nayo inakufa , hizi ni zama z a HAPA KAZI TU.
Ndoto nyingine bwana! Utakaa sana kusubir vyama vya upinzani vife kama huna cha kuandika tulia acha miheuko.
 
Allla!! Hii nchi inawatu wanaupeo waajabu sana. Ivi kiongozi gani duniani hakosei na kukosolewa? Hatakama Rais anaumakini mzuri haina maana kwamba hahitaji mawazo mbadala,hayo mawazo mbadala ndiyo yatatoka upinzani kwahivyo tusiwe na akili ndogo za kuombea upinzani kufa!
 
Nakupa tena pongezi mkuu wa kaya JPM,kwa spidi hiii unayoenda nayo, vyama vya siasa na siasa sasa inakufa ndani ya nchi yetu, pamoja na ccm aliotengeneza Lowassa nayo inakufa , hizi ni zama z a HAPA KAZI TU.
Elimu ya mulugo inaendelea kuwatesa vijana wa lumumba
 
kwa afya ya nchi upinzani unatakiwa uwepo ila uwe sio upinzani wa kupinga kila kitu. tuwe na uzalendo na nchi yetu. ikiwezekana tusaidie kutoa ufumbuzi na kushauri kwa mambo yahusuyo maendeleo ya nchi na watu wake. sio kubaki kulalama tu kama mazuzu. tuanze na mtazamo mpya tumpe ushirikiano Magufuli na serikali yake. tumsaidie hata kumpa majina ya mafisadi ili aendelee kuyatumbua na sio kutetea mafisadi wasitumbuliwe
Amepewa la lugumi lkn hadi sasa tunashuhudia kwikwi tu
 
kwa afya ya nchi upinzani unatakiwa uwepo ila uwe sio upinzani wa kupinga kila kitu. tuwe na uzalendo na nchi yetu. ikiwezekana tusaidie kutoa ufumbuzi na kushauri kwa mambo yahusuyo maendeleo ya nchi na watu wake. sio kubaki kulalama tu kama mazuzu. tuanze na mtazamo mpya tumpe ushirikiano Magufuli na serikali yake. tumsaidie hata kumpa majina ya mafisadi ili aendelee kuyatumbua na sio kutetea mafisadi wasitumbuliwe
Mawee ivi nyinyi MaCCM munaona watu wote ni mbumbu au mapimbi au vipi toka lini CCM wakawa na mawazo ya maendeleo kazi ya ccm nikutaka kutawala na kuivilisi nchi hakula zaidi ni usaniii tu.
 
Back
Top Bottom