G_real
JF-Expert Member
- Aug 23, 2019
- 684
- 851
wakuu kwa mara ya kwanza leo toka nianze kubet ndo leo napata ushindi kwa kuwaua man u ingawa ni timu yangu ninayo ipenda kutoka kundumbula na wasipo mfukuza kocha lazima tushuke daraja,nimemuua.MAN U,MAN CITY,asrsenal win dr,chelsea win dir.roma1x na nimeshinda.M1 laki6 na 52 na kbla ya kuwin muhindi alikua ameshanila elfu80.