maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Leo nimekutana na Mzee Seleman Msasa enzi ya mapambano ya mkoloni walimwita kitu chuma jina alilopewa na Mzee Mtoro ambaye mwenye nyumba kwa sasa ndio umejengwa msikiti wa Bakhresa.
Tumeongea mengi sana kati ya yote lililonichoma pale aliponiambia vijana nyie wa kileo mngekuwa miaka ya kupambana na mkoloni kupata uhuru wetu mngekuwa ni kizazi chenu mpaka leo nchi ingekuwa haijapata uhuru sababu ulikuwa utawala wa mabavu na usio na sheria.
Then kaishia hapo tukaagana nimekaa nimetafakali sana kamaanisha nini nimeleta kwenu jamvini ndugu zangu. Uwanja huo karibuni.
Tumeongea mengi sana kati ya yote lililonichoma pale aliponiambia vijana nyie wa kileo mngekuwa miaka ya kupambana na mkoloni kupata uhuru wetu mngekuwa ni kizazi chenu mpaka leo nchi ingekuwa haijapata uhuru sababu ulikuwa utawala wa mabavu na usio na sheria.
Then kaishia hapo tukaagana nimekaa nimetafakali sana kamaanisha nini nimeleta kwenu jamvini ndugu zangu. Uwanja huo karibuni.