Haya mafuriko sio ya kutengeneza kama yake ya Lowassa ambayo walitumia picha za Conakry Guinea. CCM haina ushindani Tanzania yote. Mwanza asante sana na huu ujumbe umesha wafikia UKAWA. Hapa ni Kazi Tu, Mr. Chin
" Nendeni kwenye mikutano ya kampeni muwasikilize wanasema nini kisha linganisheni muliyoyasikia ili siku ya uchaguzi mufanye maamuzi sahihi"- by mimi.
Subiri hapo uone watu wanavyotafuta malori ya kurudi bariadi,geita,na wilaya zote za mwanza wengi watalala hapohapo uwanjani msiicheze na ukawa mtalala uchi nyie fisiemu
Haya mafuriko sio ya kutengeneza kama yake ya Lowassa ambayo walitumia picha za Conakry Guinea. CCM haina ushindani Tanzania yote. Mwanza asante sana na huu ujumbe umesha wafikia UKAWA. Hapa ni Kazi Tu, Mr. Chin