Jerry Rebiam
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 402
- 357
Hata hakiamia yanguMimi Jerry Rebiam Medson Kyando ni mshabiki mkubwa na lia lia wa Barcelona Fc na Simba kwa Hapa Tanzania, kwa kipind cha hii miaka mitatu sikufurahishwa na matokeo ya Barcelona kwa upande wa champions league kuanzia matokeo ya 3 kwa 0 dhidi ya As Roma ...4 kwa 0 kutoka kwa Liverpool na hasa magoli 8 kwa 2 kutoka kwa Bayern Munich.
Nilichogundua matokeo haya yalisababishwa na hasa kuwa na team ya kawaida iliojengwa kumzunguka mchezaji mmoja yaani Lionel Messi, niliumia sana matokeo dhidi ya Liverpool kwani kipindi cha kwanza our Jord Alba alikia na chance ya kuumaliza mchezo kwenye kipind cha kwanza pale Anfield ila alifanya kitu kilichoudhi sana kwa kuurudisha mpira kwa Messi wakati yeye alikua na 95 za kufunga na kwa bahati mbaya Messi alipoteza ile nafasi. Team yangu haijawah kukubali kua Vidal, Busquet, Rakitic, Pique na Alba kuwa uwezo wao umeisha na tulipaswa kuunda team ya kiushindani. Asante Roma; Liverpool na PSG kwa kutupa alarm ya kuwa Barcelona uwezo wetu kiushindani ulikua umeisha pamoja na kiburi chetu, asante Bayern Munich kwa kutuambia kuwa tunahitaji kujiangalia upya.
Kwa upekee asante Lionel Messi kwa kukataa kuendelea na club yetu kwani unatupa nafasi ya kuitengeneza upya team yetu bila kukuzunguka wewe, huu ni upendo mkubwa sana. Mimi Jerry Rebiam nitaheshimu na kukumbuka uwezo wako uwanjani na nitakushabikia hata ukihamia Yanga, natamani usiangalie nyuma na uzidi kusimamia msimamo wako.
Kila la heri fundi wa mpira ambae Mimi nimekushuhudia # Lionel Messi
ManCityAnastaafu au anahama timu?
Kama anasikia ushauri, astaafu. Hana uwezo wa kucheza mpira nje ya Barcelona na pengine niseme hana uwezo wa kucheza mpira wa kipindi hiki cha falsafa ya kukusanya wachezaji wazuri toka sehemu mbalimbali na kuunganishwa kwenye timu moja, mpira wake ni wa kucheza na wale aliozoeana naye kwa mahitaji yake. Mathalani angekuwa anacheza EPL ya kipindi kile ambapo wapishi wengi walisifika kwa kunyoosha goti, nani angekuwa anampikia n kumuoshea vyombo kama walivyofanya wakina Xavi, Iniesta n.k?
Game over kwake au aende akaoneshe uwezo wake huko ili sisi tusioamini atuaibishe, na asije kusingizia umri, anayo nafasi ya kustaafu kama anadhani jua linadondokea magharibi.ManCity
Uwezo haujifichi na uhakika ata akienda epl Bado atakichafuaGame over kwake au aende akaoneshe uwezo wake huko ili sisi tusioamini atuaibishe, na asije kusingizia umri, anayo nafasi ya kustaafu kama anadhani jua linadondokea magharibi.
Kama EPl ninayoifahamu haijabadilika, basi niko kusubiri huo uchafu. Kama CR7 alienda Laliga na kuvunja rekodi ya mfungaji bora kabla Messi hajaifikia. Basi angalau afikie rekodi moja tu hata ya Thierry Henry kwa msimu wa kwanza kwakuwa ndio msimu wa mwisho yeye kucheza soka lenye harufu la uwezo mkubwaUwezo haujifichi na uhakika ata akienda epl Bado atakichafua
Meseji yake moja, bartolomeu ameshikiliwa kooni hadi amejiuzulu
Messi anamalizia carrier yake pale pale nou camp
Kama EPl ninayoifahamu haijabadilika, basi niko kusubiri huo uchafu. Kama CR7 alienda Laliga na kuvunja rekodi ya mfungaji bora kabla Messi hajaifikia. Basi angalau afikie rekodi moja tu hata ya Thierry Henry kwa msimu wa kwanza kwakuwa ndio msimu wa mwisho yeye kucheza soka lenye harufu la uwezo mkubwa
Anastaafu au anahama timu?
Kama anasikia ushauri, astaafu. Hana uwezo wa kucheza mpira nje ya Barcelona na pengine niseme hana uwezo wa kucheza mpira wa kipindi hiki cha falsafa ya kukusanya wachezaji wazuri toka sehemu mbalimbali na kuunganishwa kwenye timu moja, mpira wake ni wa kucheza na wale aliozoeana naye kwa mahitaji yake. Mathalani angekuwa anacheza EPL ya kipindi kile ambapo wapishi wengi walisifika kwa kunyoosha goti, nani angekuwa anampikia n kumuoshea vyombo kama walivyofanya wakina Xavi, Iniesta n.k?