Loh kazi kweli kweli,Asalaam aleykum haina udini, labda mkuu unahitaji kujua maana yake ni sawa na mtu akakuamkia Shikamoo, Shikamoo sio kiswahili fasihi, ni maneno ya lugha moja ya kienyeji lakini inakubalika sawa na mtu akikusalimia "Good morning" au "Good day" utamkasirikia au utasikia kichefuchefu?. Maana kamili ya Asalaam alaykum ni hii kwa kiingereza "PEACE BE UPON YOU" Jee mtu akikutakia heri/amani kuna ubaya gani?
** Unanikumbusha mdada aliealikwa dinner akasema yeye hapendi, lakini alikubali just kusindikiza watu, ilipofika wakati wa kutoa oda akauliza mbona yeye hawajamuodeshea? alipoambiwa si ulisema hutaki dinner? akajibu ndio mimi sikujua kama dinner ndio hii.