Arusha: Wingi wa bendera sio ushidi kwa CCM

Arusha: Wingi wa bendera sio ushidi kwa CCM

12STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
1,190
Reaction score
409
Ukipita kila kona ya barabara na mitaa ndani ya jiji la Arusha utakutana na bendera za kijani.

Ukweli CCM imechanganyikiwa katika jimbo hili ambalo GODBLESS LEMA amesima tena kuwania UBUNGE kupitia CHADEMA/UKAWA katika jimbo hili lenye Utajiri mkubwa sana wa kila namna,Upande wa CCM wamemsimamisha Tajiri mmoja anayemiliki Kampuni ijulikanayo kwa jina la MONABAN ilioko ndani yamajengo ya NMC.

Nionavyo ama nijuavyo mimi CCM wana kazi ngumu sana kwao kulirejesha jimbo,Propaganda za kujitumainisha kwamba watalirudisha Jimbo la Arusha kwa HAKIKA HIZO NI NDOTO ZA MCHANA.

Nawapa CHADEMA nafasi ya kushinda kwa 99.9%.

Sababu zakushinda kwa CHADEMA katika jimbo hilo la Arusha ziko wazi na Wenye Hekima watanielewa kirahisi ila Wapumbavu watakaza misuli kutofautiana nami.

1.Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulishaonesha nami ni mbabe (CHADEMA) katika Jimbo la Arusha.

2.Uchaguzi Mkuu 25 Octoba 2015 (URAIS NA MADIWANI) UNATHIBITISHA KUWA NI KWELI SASA CCM HAWANA CHAO ARUSHA.

3.Wana wa Arusha KUKATA TAMAA HILO SIO FUNGU LAO,Kura zitapigwa na wako makini kauli yao NI LEMA TENA 2015.

4.CHADEMA Wamejipanga vizuri kwenye usimmizi wa upigaji kura mpaka uhesabuji na mshindi kutangazwa.

5.Wananchi wameelimika KULA KWA MONABAN/PHILEMON MOLLEL KURA WAPE WAJANJA CHADEMA/LEMA.


Kutundika mabendera mengi huku mkitumia gharama kubwa kwenye Campaign zinazoonesha MNASHINDWA ni Aibu sana na kujiongezea maumivu yasiyo ya lazima.


Utampaji KURA mtu ambaye ana DIWANI MMOJA TU???

Alisikika maa mmoja akiongea karibu yangu,Siwezi muache Lema amefanya kazi kubwa Leo Arusha ina Madiwani 24.

ARUSHA YA CHADEMA/UKAWA,MSISAHAU NI LEMA TENA 2015.
 
Lema atuoneshe hospitali ya mama na mtoto aliyotuahidi....hatutaki blah bla #hapakazitu
 
ukipita kila kona ya barabara na mitaa ndani ya jiji la arusha utakutana na bendera za kijani.

Ukweli ccm imechanganyikiwa katika jimbo hili ambalo godbless lema amesima tena kuwania ubunge kupitia chadema/ukawa katika jimbo hili lenye utajiri mkubwa sana wa kila namna,upande wa ccm wamemsimamisha tajiri mmoja anayemiliki kampuni ijulikanayo kwa jina la monaban ilioko ndani yamajengo ya nmc.

Nionavyo ama nijuavyo mimi ccm wana kazi ngumu sana kwao kulirejesha jimbo,propaganda za kujitumainisha kwamba watalirudisha jimbo la arusha kwa hakika hizo ni ndoto za mchana.

Nawapa chadema nafasi ya kushinda kwa 99.9%.

Sababu zakushinda kwa chadema katika jimbo hilo la arusha ziko wazi na wenye hekima watanielewa kirahisi ila wapumbavu watakaza misuli kutofautiana nami.

1.uchaguzi wa serikali za mitaa ulishaonesha nami ni mbabe (chadema) katika jimbo la arusha.

2.uchaguzi mkuu 25 octoba 2015 (urais na madiwani) unathibitisha kuwa ni kweli sasa ccm hawana chao arusha.

3.wana wa arusha kukata tamaa hilo sio fungu lao,kura zitapigwa na wako makini kauli yao ni lema tena 2015.

4.chadema wamejipanga vizuri kwenye usimmizi wa upigaji kura mpaka uhesabuji na mshindi kutangazwa.

5.wananchi wameelimika kula kwa monaban/philemon mollel kura wape wajanja chadema/lema.


Kutundika mabendera mengi huku mkitumia gharama kubwa kwenye campaign zinazoonesha mnashindwa ni aibu sana na kujiongezea maumivu yasiyo ya lazima.


Utampaji kura mtu ambaye ana diwani mmoja tu???

Alisikika maa mmoja akiongea karibu yangu,siwezi muache lema amefanya kazi kubwa leo arusha ina madiwani 24.

Arusha ya chadema/ukawa,msisahau ni lema tena 2015.

umelogwa trh 13 utazimia hutaamin
 
kwan ccm wanapga kampen arushaa??kwann hizo ela za kampen zisisaidiee mambo mengne ya kichamaa
 
umelogwa trh 13 utazimia hutaamin

waliologwa na kulogeka ni ccm ambao wana Diwani mmoja tu Jimbo la Arusha mjini.

Arusha hata kwa goli la mkono ccm hapati kitu CHADEMA ni Washindi tu na Lema wao.
 
kuna chama kina bendera nchi hii kama ACT , lakini matokeo si mmeyaona wenyewe ! bendera ni matambala tu .
 
Lema atuoneshe hospitali ya mama na mtoto aliyotuahidi....hatutaki blah bla #hapakazitu

kazi kubwa ya Kiongozi yeyote yule Makini ni kuwashawishi watu ili apate wanachama wakutosha kwanza na kwa hilo Lema amefanikiwa sana Arusha.

Zaidi ya miaka 50 ccm mmeshindwa mengi je! mnamtaka Lema ndani ya miaka mitatu afanye makubwa zaidi ya MACCM???

AIBU NA IWAPATE!!!!
 
Back
Top Bottom