Arusha kwalipuka barabara zafungwa

Arusha kwalipuka barabara zafungwa

mnyinda

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
277
Reaction score
64
Jiji la arusha limelipuka baada mahakama ya rufaa kumrudishia lema ubunge jiji limelipuka kwa shangwe na nderemo huku wangine wakikimbilia kia na wengine wakikimbilia uwanja wa ndege kisongo
kwasasa barabara zimefungwa na mlolongo wa magari ni jamu kila kona
polisi tiyari wameanza kurandaranda mitaani wakiangalia usalama
shamrashamra za xmas ndio zimeanza leo rasmi,
 
Haki imeshinda dhuluma na siku zote itashinda. Ni aibu kubwa kwa mkuu wa mkoa wa Arusha kwa jinsi alivyokuwa anajiingiza kwenye hii kesi. Ufisadi chini, haki juu. Tunamshukuru Mungu.
 
Hongereni wa Arusha lakini muwe makini kwa sababu tamu inaweza kugeuka chungu,msherehekee vizuri kwa amani,vinginevyo yatatokea kama yale ya ale watatu! Lema amerudishia ubunge wake kwa hiyo mumpe ushirikiano katika kuijenga Arusha na sio vurugu na vurumai za mara kwa mara,hatuna muda tena hiyo ni ishara tosha kwamba ukombozi umekaribia sasa tusipoteze muda kwa mambo yasiyokuwa ya msingi!!!!!
 
:target:Ila hao PoliCCM wasianze zao za kuleta eti wamepata taarifa za kiintelejensia na kuzua vurugu huko Arusha! wasifanye upuuzi wa kuwamwangosi raia wasiokuwa na hatia. wala wasiwanyamongo wapendwa wetu wanaofurahia ushindi wa kamanda Lema!...wenye wivu wajinyonge....
 
Nilikutana na msafara wa magari na pikipiki maeneo ya Kibo Pallace sikujua wanaelekea wapi yaani Leo ni shangwe, CCM kama wamenyeshewa vile hata vile vijiwe vyao pale CCM mkoa hakuna watu.
 
Picha pls

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi yule polisi Zuberi aliesema "Lema hii kesi lazima ikutie kidole" yu wapi?atasema nini sasa?maana yule ndio alidhihirisha hukumu kuandikwa Ikulu!
 
Yap nikiwa mtanganyika naona fahari kuona mahakama zikitenda kazi kwa weledi. big up
 
Hongereni wa Arusha lakini muwe makini kwa sababu tamu inaweza kugeuka chungu,msherehekee vizuri kwa amani,vinginevyo yatatokea kama yale ya ale watatu! Lema amerudishia ubunge wake kwa hiyo mumpe ushirikiano katika kuijenga Arusha na sio vurugu na vurumai za mara kwa mara,hatuna muda tena hiyo ni ishara tosha kwamba ukombozi umekaribia sasa tusipoteze muda kwa mambo yasiyokuwa ya msingi!!!!!

nilicho jifunza hapo sikuzote ujasiri kujiamini,mtumwoga hakika yakengumu,
 
hongeleni sana Arusha, ni muda wa furaha kwenu sasa na ushirikiano na mbunge wenu katika kutatua matatizo yenu.Mh Lema, binafsi hogera sana na honey moon imeisha, kama kawaida twende kazi.
 
Safi sana Arachuga..ila mdogomdogo si mnajua mwisho wa mwaka huu,furaha isipitilize! Hongera sana Kamanda Lema kwa mara nyingine!
 
Furaha pamoja na ulinzi wa wanyama kama Tembo,Fedha za umma, mikataba feki, isijekuwa Mafisadi wamepata mwanya, tukija shtuka tumeibiwa. All the best makamanda.
 
Back
Top Bottom