Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Tangu alhamis ccm ilitangaza kuwa mkuu wa serikali ya kishkaji atakuwepo Arusha leo jumamos kwa ajili ya kuwapa watoto chanjo ya polio na surua Mara ghafla jana kuanzia saa sita tangazo likageuzwa kwamba sio ****** tena atakayekuwepo ni muakilish wa rais Leo kwenye uwanja wa stadium kuna watoto wadogo wanarandaranda walipoona nguvu ya umma imesusa kuwaunga mkono wakatangaza tena kutakuwepo wasani wa bongo fleva ili watu watu waende kwa wing lakin hata hivyo hakuna mahudhurio ni hafifu sana nadhani huu ndo mwisho wa ccm NAWASILISHA!