Ukweli usiopingika ni kweli bila lema arusha isingejengeka hivyo linganisha na majimbo yanayoongozwa na ccm na ndio kazi mojawapo ya mbunge kusimamia maendeleo ya jimbo lake mbunge yeyote hana fungu la kufanya maendeleo bali ni kulazimisha sera zilotangazwa na chama kilichoshika dola zinatekelezwa