kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Jimbo hili wamelitafuta kwa nguvu nyingi lakini inapokuja kuwateua wagombea naona Kama wale watuhumiwa wa rushwa kubwa na ndogo ndio waliochukua fomu na natumai ndio watakaopitishwa maana wajumbe waliopo ukumbini hata ukiwauliza wanataka kiongozi wa aina gani hawajui.....historia ya wale wamwaga fedha kupata uongozi
Nadhani tukipata CV zao mtawajua wagombea ni akina nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tukipata CV zao mtawajua wagombea ni akina nani
Sent using Jamii Forums mobile app