Artumas asks Dar for $7m bailout for Mtwara gas-to-power project



Tunao hao wataalamu tatizo ni njaa na ufisadi
 
Hebu nisaidie, hivi kweli haya mambo mtu kama waziri mkuu hajui?? Jamani mi mpaka najisikia vibaya kuona watu wanafanya vitu utadhani wamerogwa!
 

Tanesco walitaka waingizie USD 400Milioni waanze kuzifisadi kwa kujinunulia magari ya bei mbaya ....manake ndio viongozi wengi wanaloliweza.
 
mpendanchi 2 thanks much,seems unaelewa nini kinaendelea kwenye hiyo Energy sector Tanzania kuliko wapuuzi wengi waliojaa Dodoma na magogoni,hiyo 300MW project ya Artumas nafikiri jamaa ndio bets zao zote zilikuwa pale na wakajua ita offset loss ya charity project nyingine kama hiyo ya Ruvuma/mtwara/Songea electrification,niliwahi kusikia jamaa wanazalisha umeme mwingi kuliko wanaoweza kuwauzia TANESCO ndio maana wanapata hasara maana Tanesco walikuwa wanawachezea game ya kukataa kununua umeme wao kwa madai wano mwingi huku wakitumaliza kwa migao,hapa kuna ufisadi mkubwa sana upande wa serikali na Tanesco na press/wananchi inabidi iwaweke kiti moto mawaziri kupata ukweli maana ukweli nchi haina umeme na umaskini unaongezeka kumbe tuna gas na uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosheleza karibu nchi nzima,na hiyo fertillizer factory kama wangecheza game yao vizuri leo watu wangepata kazi na kilimo kukua na tunge save dollar nyingi sana za kununua mbolea na chakula nje lakini mafisadi wanatumaliza na deal zao za kishenzi,nafikiri umeme na mbolea serikali ingeweza kufunga macho na kuchukua hizo project zenyewe maana zina multiple effect kwenye economy ya nchi then baada ya muda wangeweza hata kuuza hizo project kwa wananchi...cha ajabu Richmond,Dowans,IPTL zimekula pesa nyingi kuliko pesa zinazohitajika kusimama 300MW artumas projects,nasikia yule Nigerian billionaire wa Dangote group anataka kuweka pesa zake mtwara kwenye hizo mbolea...siwaamini lakini hawa Nigerians ukizingatia ata deal na mfisadi anaowajua basi tujue ni umaskini kwenda mbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…