Artificial Intelligence: Yajayo yanatisha!

AI haiwezi kureplace programmers...

Ni hofu isokuwa na maana.

Ni lazima muhusika ajue coding kwanza ndipo AI impatie muhusika msaada kulingana na shida yake...
 
Kama kuna project moja naifatilia ndiyo ipo kwenye development, jamaa wanatengeneza cooking pots zinakuwa integrated na AI & Camera. Maana yake unaweza kuwa na watoto nyumbani ukapika chakula kupitia simu kikaiva wao wanaenda kupakua tu.
Mmh, kwisha habari yetu
 
Huu ni uhalisia 💯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…