Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,930
- 1,172
...baada ya timu ya Arsenal kupigwa goli 6 na timu ya Man City, Na mnamo mwaka jana timu hiyo ilipigwa goli 8 na timu ya Manchester United, hatimaye record hiyo imepelekea timu hiyo kupewa jina jipya la utani a.k.a Bavaria 8.6