Arsenal vs Manchester city

Arsenal vs Manchester city

Nickman

Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
80
Reaction score
11
Wana jf! Kesho kutakuwa na mechi ya ngao ya hisani baina ya timu tajwa hapo juu,yeyote anayejua muda wa kuanza mechi hiyo anihabarishe tafadhari
 
Karibuni wadau wa EPL na leo ndiyo kiashiriao cha kuanza kwa ligi. Leo hii kwa mara ya kwanza katika historia ya mpira nchini Uingereza ile "Vanishing Spray" itaanza kutumiwa na marefa. Wote mnakaribishwa


kwa wale wadau ambao hawapo jirani na luninga mnaweza kufuatilia matangazo moja kwa moja kwenye mitandao kupitia linki hapo chini

http://livefootballvideo.com/streaming/england/community-shield/arsenal-vs-manchester-city-3

http://www.wiz1.net/bein11

http://u-peak.me/bt1.html

http://www.frombar.com/20140720/vv53cae0aa420451.17700676-852857.html

_76854222_7a1edc8a-7024-470d-a724-6d5611c517d5.jpg


kitu inaletwa uwanjani
attachment.php
 
Haya ngoja watufungulie wasindikizaji wetu,ubingwa msimu huu ni Old traford mnune na kupasuka habari ndo hiyo.
 
Tunaanza na hili, mwaka huu stoo ya arsenal itajaa
 
Arsenal confirmed lineup:shezny,debuchy,gibbs,koscielny,chamber,arteta,wilshere,ramsey,sanchez,cazorla,sanogo.
 
Arsenal wanaongoza 2
Cazola na wilshare

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mashabi na wachezaji wa Arsenal tumeonyesha ukomavu....wala hatuna mwemuko....na tumemshikisha adabu Nasri na wenzake...
 
duh unamkomoa mtu mwenye EPL kwa kubeba ngao ya hisani!!!!! Siamini hata kidogo kama Nasri anajuta kuhama kwa mshahara na mafanikio aliyopata hata Sagna ameliona hilo.
 
Back
Top Bottom