A Alex Hype Massachers Member Joined Feb 21, 2012 Posts 9 Reaction score 2 Oct 7, 2013 #1 vijana wa wenger mtafika kwel kuchukua ndoo mwaka huu au ndo yale yale ya miaka yote..???
T Thegame JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 2,273 Reaction score 2,401 Oct 7, 2013 #2 Si mlishatutabiria hatutakuwa ndani ya top 4?? Sasa mnatuuliza tena kama tutachukua ndoo?? Imekuwaje tena??
Si mlishatutabiria hatutakuwa ndani ya top 4?? Sasa mnatuuliza tena kama tutachukua ndoo?? Imekuwaje tena??
T Thegame JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 2,273 Reaction score 2,401 Oct 7, 2013 #3 Wakati msimu unaanza mlishatutabiria kuwa hatutakuwa ndani ya top 4 ?? Sasa mnatuuliza tena kama tutachukua ndoo?? Imekuwaje tena??
Wakati msimu unaanza mlishatutabiria kuwa hatutakuwa ndani ya top 4 ?? Sasa mnatuuliza tena kama tutachukua ndoo?? Imekuwaje tena??
K Kukamido JF-Expert Member Joined Apr 22, 2013 Posts 853 Reaction score 204 Oct 7, 2013 #4 Alex Hype Massachers said: vijana wa wenger mtafika kwel kuchukua ndoo mwaka huu au ndo yale yale ya miaka yote..??? Click to expand... Leo hii tumekua wakuchukua ubingwa tena!kule kwenye nafasi ya sita mshatutoa au!
Alex Hype Massachers said: vijana wa wenger mtafika kwel kuchukua ndoo mwaka huu au ndo yale yale ya miaka yote..??? Click to expand... Leo hii tumekua wakuchukua ubingwa tena!kule kwenye nafasi ya sita mshatutoa au!
Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Oct 7, 2013 #5 Kwani wewe ni fan wa timu ipi na timu yako imefika wapi sasa?
N Ndala ndefu JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 237 Reaction score 42 Oct 7, 2013 #6 Asili haipotei na asili ya Arse 8 inajulikana.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Oct 8, 2013 #7 Lazima mwaka huu tutachukua hiyo kitu........