itajulikana kesho baada ya college nyingne znazosifika kwa kula vichwa kama COET,COHU,UDSL na COSS zikitoa matokeo yao.lakin kwa haraka tu,matokeo sio mazuri,mwaka wa kwanza udbs,vijana 37 wameliwa vichwa tayar huku robo tatu wakiwa wamesup somo la accounting.over