alafu sio ma-architectures bali ni architects!! isirudie tena kuchapia!! mm ni architect , hapo waweza kukadilia tu mwenyewe maana scale IPO hapo au ukaweka hapa picha ya hyo floor plan then ukafanyiwa makadirio hayo ya dimensions!! mwisho kabisa Huyo MTU alichoraje bila vipimo? au alikuwa anajifurahisha?