Appreciation: Akina dada warembo especially 20's mnatukosha sana

Appreciation: Akina dada warembo especially 20's mnatukosha sana

Promethazine

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2017
Posts
262
Reaction score
260
Habari ya siku hii watu wa humu.

Kwetu majamaa hawa wanawake tumepewa zawadi nzuri sana humu duniani, yaani wadada hasa wakiwa bado wabichi in 20's wanakuwa ni warembo sana!!!!

Salute kwenu warembo mnatupa faraja iliyotukuka!!!! Hili ni pambo moja zuri sana katika huu ulimwengu, Kila siku tunalalamika ila hatuachi mara Fulani katoa edge 7+, Mara mwingine gari, hayo yanaitwa sweet pain, tunaumia lakini hatuachi, hii inaitwa sikomi!!!

Kuna wadada warembo ukimuona mpaka unahisi moyo unaelea, msituchoke tunaobangaiza maisha mkakimbilia kwa wenye madolari tuu, hata sisi tunawataka!

Nisiwe mchoyo wa shukrani, Mwenyezi Mungu fundi bwana!!
 
Waarabu ndiyo wazuri nawaelewa ila pesa muhimu pia kuwa nayo ili kuitunza hiyo k ya mwarabu.....
 
Wachina ni maskini?!?!

Mbalamwezi1 ,

Mkuu, wachina ni makapuku haswaaa. Ila serikali ya China ndiyo tajiri.

Siyo kama Tanzania ambapo serikali chali na wananchi wake kifo cha mende.

Ndiyo maana, Poise , huwa naandika hivi "Starehe ya Maskini ni Ngono, na ukiona mtu ana kipato cha 10+/=M kwa mwezi na ni kipanga mitaani tambua kabisa kuwa tunguli/ sangoma anahusika.

Kwa hiyo, China walizaliana sana kwa sababu ya umasikini uliokithiri kwa wananchi maana muda wote wapo hapo wote ni kugusa tu twende.

Hata India , its the same issue ndiyo maana haidi leo hivi vitendo vya ubakaji/reping huko India wanafanyiana hadi kwenye public transport. Ila sababu ni umasikini.
 
Usihofu! Tunakula hela zao tu alafu maisha tunakuja anza na nyie...
 
Ndio maana maskini tunazaliana sana

Mgeni wa Jiji ,
Mkuu,
Kabisa ni kweli.
Na hata ukitaka kuhakikisha hilo , angalia idadi ya watoto wa matajiri na idadi ya watoto kwa maskini.

Uwiano haupo kabisaaaaaa.
Tajiri wenye watoto wengi kati ya familia 10 ni 3
Ila masikini wenye watoto wengi kati ya familia 10 ni 7 hadi 8.
 
Mbalamwezi1 ,

Mkuu, wachina ni makapuku haswaaa. Ila serikali ya China ndiyo tajiri.

Siyo kama Tanzania ambapo serikali chali na wananchi wake kifo cha mende.

Ndiyo maana, Poise , huwa naandika hivi "Starehe ya Maskini ni Ngono, na ukiona mtu ana kipato cha 10+/=M kwa mwezi na ni kipanga mitaani tambua kabisa kuwa tunguli/ sangoma anahusika.

Kwa hiyo, China walizaliana sana kwa sababu ya umasikini uliokithiri kwa wananchi maana muda wote wapo hapo wote ni kugusa tu twende.

Hata India , its the same issue ndiyo maana haidi leo hivi vitendo vya ubakaji/reping huko India wanafanyiana hadi kwenye public transport. Ila sababu ni umasikini.
Ok!nimekuelewa mkuu
 
Mambo zenu naulizia lodge nzuri sinza kwa 20,000 yenye ac,pasafi,kuwe na heater na maji ya kutosha.
 
Habari ya siku hii watu wa humu.

Kwetu majamaa hawa wanawake tumepewa zawadi nzuri sana humu duniani, yaani wadada hasa wakiwa bado wabichi in 20's wanakuwa ni warembo sana!!!!

Salute kwenu warembo mnatupa faraja iliyotukuka!!!! Hili ni pambo moja zuri sana katika huu ulimwengu, Kila siku tunalalamika ila hatuachi mara Fulani katoa edge 7+, Mara mwingine gari, hayo yanaitwa sweet pain, tunaumia lakini hatuachi, hii inaitwa sikomi!!!

Kuna wadada warembo ukimuona mpaka unahisi moyo unaelea, msituchoke tunaobangaiza maisha mkakimbilia kwa wenye madolari tuu, hata sisi tunawataka!

Nisiwe mchoyo wa shukrani, Mwenyezi Mungu fundi bwana!!
Mvinyo ulio chacha ndiyo nzuri zaid
 
Back
Top Bottom