Unasoma ili iweje hasa?....natamani ningejua madhara ya elimu mapema nisingekubali kusoma na kuwa brainwashed kiasi hiki...yani kweli mimi nimekuwa mtumwa ...kutegemea elimu ya mzungu ili niishi...aiseee acha tuu.
Unasoma ili iweje hasa?....natamani ningejua madhara ya elimu mapema nisingekubali kusoma na kuwa brainwashed kiasi hiki...yani kweli mimi nimekuwa mtumwa ...kutegemea elimu ya mzungu ili niishi...aiseee acha tuu.