APPEAL

APPEAL

sir doctor

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
291
Reaction score
66
Naombeni msaada kuna uwezakano Wa wanafunzi waliokata rufaa kupata mkopo?????msaada plz
 
Sir doctor upo na pharmacy yako hapo st john ila dah pole sana maana hili tatizo limenikumba hadi mimi.
 
da mi mchz wangu kaenda loarn board kuulizia wakamwambia kusema ukwel serikali haina pesa na kuappel sio kwamb ndo kupata mkopo sasa jamaa angu karud kwao alhamis
 
Kuna wana wa kampala wanaishi maisha magumu mpk yanatia asila..... Cjuh hawa hezebio wanawaza nn hasa.... Cjuh kampala wamewakosea nn
 
Na taalifa za kusikitisha zaidi ni kwamba itatoa mikopo kwa watu 200 tuuu kati ya wanao apili......
 
Back
Top Bottom