App ambayo inabadili mwandiko wa simu

Sizani kama app hiyo ipo. Mara nyingi hua naona dizaid hiyo kwenye samsung, ngoja wataalamu wa mambo waje pia naweza pata faida
 
Tahadhari, kuiroot sim sio kazi rahisi ni kama kuifanyia oppresion sim. Ukikosea step 1 inazimika na haiwaki tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…