App ambayo inabadili mwandiko wa simu

Sizani kama app hiyo ipo. Mara nyingi hua naona dizaid hiyo kwenye samsung, ngoja wataalamu wa mambo waje pia naweza pata faida
 
Tahadhari, kuiroot sim sio kazi rahisi ni kama kuifanyia oppresion sim. Ukikosea step 1 inazimika na haiwaki tena.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom