We hujasoma C++ acha kutudanganya, aliyesoma C++ asingeuliza swali kama hiloasante mi nimesoma C++ je C ni ngumu kama C PLUS PLUS?
We hujasoma C++ acha kutudanganya, aliyesoma C++ asingeuliza swali kama hilo
hakuna ligi ya mabishano , mi C++ nimesoma huenda wewe ndo unafuata upepo tu wa jfKweli kabisa haijui hata hiyo C language. Ni kama kusema unaweza power point wakat word na excel hujui.
hakuna ligi ya mabishano , mi C++ nimesoma huenda wewe ndo unafuata upepo tu wa jf
Unachekesha
endelea kucheka
asante mi nimesoma C++ je C ni ngumu kama C PLUS PLUS?
asante mi nimesoma C++ je C ni ngumu kama C PLUS PLUS?
Dah. Nami ndo nataka nianze. Labda unishaur nianze na nin ,kama m2 ambae hana kitu. Ila nina concept ndogo ya Java.
C++ imerahisishwa japo ni oop yenye maconcept mengi. C++ imetengenezwa juu ya c hvyo c ni mama wa c++. Kucode kwa kutumia c ni ngumu sana kulinganisha na c++ ila ni vizuri zaidi kuanza kujifunza c then c++ kwasababu c itakukomaza na kukufanya ufikilie zaidi kama computer scientist hivyo ukiamia c++ ni raha mustarehe ,unacode meno yote nje ,unaenjoy jinsi code inavyoshuka
Bila shaka Hajasoma...........We hujasoma C++ acha kutudanganya, aliyesoma C++ asingeuliza swali kama hilo