mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,717
- 11,917
Uwajibikaji ilitakiwa kiwe ni kisu kikali kwa viongozi wanaotumia ofisi za umma kujinufaisha au kuumiza wengine.
Kila kitendo cha ufisadi,ubadhirifu au ukosefu wa uwazi kinapaswa kushughulikiwa harshly.
Itazame nchi yoyote Afrika ilopata uhuru kipitia mazungumzo fananisha na walopata uhuru kupitia Mapigano.
Utofauti unauona? Ni upi?
Iddi amini alitaka kuchezea chakula cha watawala,watawala wakatupeleka kwenye vita……..sasa watawala wakula mnyama tu…:sisi tunacheka tu.
Mwalimu anapiga job mpaka 60, then anastaafu, anaambiwa Mzigo wake atapewa ila kwa installment, then lazima KIKOKOTOO kimlambe Shingo, then conditions kibao
Then there’s a Politician
Yani tunashindwa kuwapigania hata wa raia wenzetu (walimu)
Taifa letu ni ngumu sana!!!
Kila kitendo cha ufisadi,ubadhirifu au ukosefu wa uwazi kinapaswa kushughulikiwa harshly.
Itazame nchi yoyote Afrika ilopata uhuru kipitia mazungumzo fananisha na walopata uhuru kupitia Mapigano.
Utofauti unauona? Ni upi?
Iddi amini alitaka kuchezea chakula cha watawala,watawala wakatupeleka kwenye vita……..sasa watawala wakula mnyama tu…:sisi tunacheka tu.
Mwalimu anapiga job mpaka 60, then anastaafu, anaambiwa Mzigo wake atapewa ila kwa installment, then lazima KIKOKOTOO kimlambe Shingo, then conditions kibao
Then there’s a Politician
Yani tunashindwa kuwapigania hata wa raia wenzetu (walimu)
Taifa letu ni ngumu sana!!!