Hiyo namba mbili ndio kila kitu. Unapoongelea link ya viwanda na na barabara, umeme wa uhakika ni muhimu sana kwenye kuendesha hivyo viwanda.1. Linking rural areas and towns with tarmac road to enable the flow of raw materials from production areas to consumers.
2. Provide electricity power in all villages to where economic productive activities are largely done.
3. Build industries in production areas to enable fast processing of raw materials, also to cure the cost of transport.
4.Build schools and hospitals in villages so as to level gap of social services availability in towns and villages.
Hiyo namba mbili ndio kila kitu. Unapoongelea link ya viwanda na na barabara, umeme wa uhakika ni muhimu sana kwenye kuendesha hivyo viwanda.
Safi sana, hapo hamna chochote cha kuacha nyuma, ili uchumi ukue kwa kasi kuna baadhi ya vitu vya msingi ambavyo hata vingine hajavitaja mleta mada.Hayo yote ni ya muhimu na yana nafasi zake kwenye jamii.
Huwezi kuwapa watu umeme wakati hawana elimu ya nini cha kuzalisha.
Rwanda wamefanya haya tayari wamefanikiwa1. Linking rural areas and towns with tarmac road to enable the flow of raw materials from production areas to consumers.
2. Provide electricity power in all villages to where economic productive activities are largely done.
3. Build industries in production areas to enable fast processing of raw materials, also to cure the cost of transport.
4.Build schools and hospitals in villages so as to level the gap of availability social services in towns and villages.
Nadhani kwa tulipo sasa, tuna wasomi wa kila namna hapa nchini, labda nawaha mazingira wezeshi ambayo yanaruhusu kuwekeza elimu yao kwenye uzalishaji halisiHayo yote ni ya muhimu na yana nafasi zake kwenye jamii.
Huwezi kuwapa watu umeme wakati hawana elimu ya nini cha kuzalisha.
Bila Kilimo hakuna maendeleo ni hatua kama mtoto anavyotambaa na kisha kutembea. Is the only economic activity ambayo kila mwanachi anaweza kupractice but we need market (local and international ) that is what Kenya is doing na sio nchi masikini tena..! Malaysia did the same.. Europe did the same.... KENYA are biggest export of Agricultural commodities kusini mwa jangwa la Sahara ukiondoa South Africa. Sis tunahimiza mbolea za ruzuku wanasiasa wapige... Kilimo cha mahindi na kula ugali ndio wanachokijua.. We have the land water, Rasilimali.. But they think with their balls.. Shame!!!!1. Linking rural areas and towns with tarmac road to enable the flow of raw materials from production areas to consumers.
2. Provide electricity power in all villages to where economic productive activities are largely done.
3. Build industries in production areas to enable fast processing of raw materials, also to cure the cost of transport.
4.Build schools and hospitals in villages so as to level the gap of availability social services in towns and villages.
Bila Kilimo hakuna maendeleo ni hatua kama mtoto anavyotambaa na kisha kutembea. Is the only economic activity ambayo kila mwanachi anaweza kupractice but we need market (local and international ) that is what Kenya is doing na sio nchi masikini tena..! Malaysia did the same.. Europe did the same.... KENYA are biggest export of Agricultural commodities kusini mwa jangwa la Sahara ukiondoa South Africa. Sis tunahimiza mbolea za ruzuku wanasiasa wapige... Kilimo cha mahindi na kula ugali ndio wanachokijua.. We have the land water, Rasilimali.. But they think with their balls.. Shame!!!!
Nini maana halisi ya neno "maendeleo" katika nchi ya Kenya.?? Barabara za juu na ongezeko la deni kwa taifa.?? Kukithiri kwa vitendo vya rushwa na uvamizi dhidi ya raia wa kawaida.?? Aina gani ya speed inatumika kutekeleza haya.!!
Ok nitamwambia babaMkuu hapo umesema vizuri kabisa.. naamini magufuli atasoma.. au hata kijana wake akisoma asikose kumsimulia wakati wanapata chakula cha jioni
Malengo ya milenia tayari wameshafikia..sisi mpk 2025Wamefanikiwa katika kiwango gani.??
Asante mkuu kwa uchambuzi yakinifu.kwa hiyo rwanda tuiweke katika kundi lipi developing countries or developed countriesMalengo ya milenia ni makusudio ya jumuiya ya kimataifa kwa nchi za ulimwengu wa tatu, kuziweka kwa pamoja bila kuungalia mahitaji ya nchi moja moja. Ni masharti kwa nchi masikini baada ya kupokea mikopo ya maendeleo kutoka kwa nchi zilizoendelea. Kwa hiyo sio jambo la kujivunia, kutekeleza masharti ya nchi tajiri bila kuangalia uhitaji wa nchi yako.
Kwa Rwanda, upunguzaji wa umasikini ni moja ya faida zinazopatikana wakati demokrasia na maendeleo yanapotulia kwa pamoja na kuhusishwa kikweli na maisha ya watu. Rwanda imekuwa ikifanya vipi katika maeneo ya maendeleo, uletaji wa demokrasia na uletaji wa utulivu hasa kwa jamii ya kihutu na mahasimu wa rais Paul Kagame.?? Maendeleo katika jamii iliyojaa uoga, ni ukiritimba wa serikali kwa watu wake.!!
Kusambaza umeme kwa baadhi ya vijiji na kuwawezesha wakulima wa chai kutambua taarifa za hali ya hewa, haitoshi kusema Kenya imepiga hatua za kimaendeleo. Kwani kuna vigezo vingi vya kuangilia na kuainisha uchumi wa nchi kwa watu wake. Deni la taifa linazidi kukua kwa kasi na maendeleo ya Kenya hayaakisi maisha ya wakenya walio wengi. Upatikanaji wa katiba mpya sio msaada kwa raia, kwani bado kuna matatizo mengi ya kiutawala katika serikali ya Kenya.
Malengo ya milenia ni makusudio ya jumuiya ya kimataifa kwa nchi za ulimwengu wa tatu, kuziweka kwa pamoja bila kuungalia mahitaji ya nchi moja moja. Ni masharti kwa nchi masikini baada ya kupokea mikopo ya maendeleo kutoka kwa nchi zilizoendelea. Kwa hiyo sio jambo la kujivunia, kutekeleza masharti ya nchi tajiri bila kuangalia uhitaji wa nchi yako.
Kwa Rwanda, upunguzaji wa umasikini ni moja ya faida zinazopatikana wakati demokrasia na maendeleo yanapotulia kwa pamoja na kuhusishwa kikweli na maisha ya watu. Rwanda imekuwa ikifanya vipi katika maeneo ya maendeleo, uletaji wa demokrasia na uletaji wa utulivu hasa kwa jamii ya kihutu na mahasimu wa rais Paul Kagame.?? Maendeleo katika jamii iliyojaa uoga, ni ukiritimba wa serikali kwa watu wake.!!
Kusambaza umeme kwa baadhi ya vijiji na kuwawezesha wakulima wa chai kutambua taarifa za hali ya hewa, haitoshi kusema Kenya imepiga hatua za kimaendeleo. Kwani kuna vigezo vingi vya kuangilia na kuainisha uchumi wa nchi kwa watu wake. Deni la taifa linazidi kukua kwa kasi na maendeleo ya Kenya hayaakisi maisha ya wakenya walio wengi. Upatikanaji wa katiba mpya sio msaada kwa raia, kwani bado kuna matatizo mengi ya kiutawala katika serikali ya Kenya.