bwana kipanya ni mzuri wa kuchora katuni na kutoa buruduni kwa maneno ila nimemstadi long c m2 wa kutoa mchango mzuri wa kimawazo na kuangalia ukwel ulipo lijapo swala kutafuta haki haswa za vijana,najua ushadoubt,nakupa mfn,kuna pindi wanaudsm waligomea miundombinu thaifu,udogo wa hela ya kujikimu,umeme,nk,ila nikamsikia kwenye redio akisema maneno vry disapointing huku akisema wafuate kilichowaleta vijana,eti wanaliaibisha taifa,ala!m2 usomee hata choon kisa ni elimu!!so since tht dy nikawa cna hamu nae,although anafanya vzur