SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Jaluo amewaliza wazungu wengi sana majuzi!
Chezea U-firstlady wewe
Kama josefina vile na ndoto za ikulu.Atapasikia tu kwenye tv.Au labda Chadomo waombe kukutana na Rais watoe tena mchango wao kwenye katiba ili afuatane na jamaa yake
Kama josefina vile na ndoto za ikulu.Atapasikia tu kwenye tv.Au labda Chadomo waombe kukutana na Rais watoe tena mchango wao kwenye katiba ili afuatane na jamaa yake
Kama josefina vile na ndoto za ikulu.Atapasikia tu kwenye tv.Au labda Chadomo waombe kukutana na Rais watoe tena mchango wao kwenye katiba ili afuatane na jamaa yake
...The guy is very smart upstairs. to beat wazungu two times is NOT a joke.
Jaluo amewaliza wazungu wengi sana majuzi!
Wengine hawaonekani hapa JF, ha ha ha ha ha ha ha ha ha na bado
Kama josefina vile na ndoto za ikulu.Atapasikia tu kwenye tv.Au labda Chadomo waombe kukutana na Rais watoe tena mchango wao kwenye katiba ili afuatane na jamaa yake
Nyani Ngabu kaingia mitini
.....Alishanunua sanamu na maua kibao ya kwenda kupamba ikulu. Angekuwa mumewe ni mwana siasa wa Tanzania angesema wamerogwa na mbaya wao wanamjuwa.....
Mtu mwenyewe ni wa kijijini, ataweza wapi siasa za Marekani? Labda za CCM ambako chumvi, Tshirts na kofia zinatosha sana kushinda uongozi. Yupo na mwingine anaitwa Natalia, hawa wote wakiona uzi kuhusu uchaguzi wa USA wanaingia kama guests! Jaluo kawatoa kwenye ramani sasa wanakuwa wanachungulia kwa mbali wakiogopa kusombwa na The Obama Effect!Wapi Mwanakijiji!
Na Florida kashinda, making a landslide win of 332 electoral college votes v/s 206 votes za ROB ME (Romney). Hili ni gap la kura 126 na kufanya ushindi wa Obama kuwa wa kishindo kwa 61.71%. Hispanics na Latinos walipohojiwa baada ya kupiga kura kule Florida walisema hawakumwamini Romney kwa sera zake kuhusu mambo ya uhamiaji kwani amekuwa ni mtu wa misimamo isiyoeleweka, mara misimamo mikali, mara abadilike iwe ya wastani, etc. Nadhani hizo ndio dalili ambazo Bw. Mkubwa alizisema ni za Romnesia!The guy is very smart upstairs. to beat wazungu two times is NOT a joke.
Nyani Ngabu kaingia mitini