Anguko la watetezi laja

Mkuu ni wapumbavu tu ndio wanaweza kutokana rais au kiongozi wao, mjinga kamwe hawezi kufanya hivo. hao unao waona ni wapumbavu.UMENIELEWA.

Trump hufukuza tu, bali hapa kwetu tunaona mtu anaempa changamoto rais anapata tabu na misukosuko sana mara nyingine hadi kupotezwa ingawa hatutuhumu kwa ni rais kwa maana ya taasisi wanafanya hivo.

Ila tujnachojiuliza ni kwamba kwanini hayo hutokea wakati rais anapewa changamoto.

Kuna njia nyingi za kushughulikia hayo bila kuonesha kama unakandamiza demokrasia.
 
Yeremia 51:6 kimbieni kutoka Babiloni, kimbieni ili mwokoe uhai wenu. Msiangamie kwa sababu ya kosa Lake.
Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.. Atamlipa kulingana na matendo yake.
Ufunuo 18:2 naye akasema kwa sauti yenye nguvu: "Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu....
 
Unaota mchana kweupe, mtu anaunga mkono juhudi za mwenyekiti wa chama halafu matokeo mabaya yahusishe upinzani, wapi na wapi.
 
Kwahiyo umeona huo ndio mfano, vp kufumuliwa marinda bako kukoje

 
Mbona Hauwataji Hao Watu?
 
10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
Ufunuo wa Yohana 2:10
 
Zigo la misumari halibebeki, wamechoka kudeki mikojo ya bwana yule chini.wanadeki anakojoa wanadeki anachafua.
 
Akina Barbarosa, Kipara Kipya, Cocochanel, Britanica,Lakisipesa na wenzao tayari wameshakiri kuchoka.

Bado kuna maroboti matatu dada ISIS, dada Dokta Love na Mgonjwa Mtambuka wao dawa ndio inaanza kupenya kwenye mfupa.
Nimeshangaa sana ingizo jipya Kipara kipya naye kacheua ! Hakika shetani hana rafiki .
 
Andiko hawakuandikiwa wenye mamlaka ya kupitia mlango wa nyuma. Ni mamlaka ambayo Mungu mwenyewe anajua wana uhalali.

Na ushahidi upo wazi tunashuhudia laana katika nchi yetu ambayo haijawahi kutokea. Kuna fitina chuki faraka zisizo na mfano. Hii inathibitishwa na andiko kuwa mtawala akiwa batili nchi inalaaniwa.

Je si kweli kuwa heri jana kuliko leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…