Mzee wa hekima
Member
- Mar 12, 2014
- 21
- 3
Amini usiamini, nawapongeza wakazi wa Igunga kwa kuwapa nafasi ya mwisho CCM ili walipe madeni ya ahadi zao mpaka hiyo 2015. Hii itawafanya wawe wenye amani mioyoni mwao kwa kufanya maamuzi ya mabadiliko kwani watakuwa wamehukumu kwa haki ktk uchaguzi mkuu.
Ndiyo maana nasema ni mtego kwa CCM
Ndiyo maana nasema ni mtego kwa CCM