Huko nyuma yuko jamaa kavaa fulana ya Vodacom ya Chama gani?
Hapo kila mtu na ukereketwa wake, na huyo aliyevaa Kombati jeusi ni Marcus aligombea kura za Maoni Mvomero na Makalla akawa wa3 nyuma ya mbunge aliyekuweko enzi hizo.
Alama ya V ni alama ya ushindi hapo kila mtu ana vyake kamshinda Aghondi, GOVT, TISS, nk