Android wamebolonga tena huko Hong Kong kwenye uzinduzi

i411

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
906
290
samsunggalaxynexusliveblog1741.jpg
Adroid wameshindwa tena kwenye uzinduzi wa OS huko Hong kong ikashindwa kufanya kazi wameleta features kama una weza fungua simu na sura yako badala ya kuweka number au kuswipe. Da lakini kama kawaida hakuna kitu kinafanya kazi kama wanavyo advatize. Ngojea tusubirie Apple walete hizo features kwa ios waonyeshwe jinsi zinavyotakiwa kupiga kazi. Hapo chini ni tangazo zuri la android lakini usimezee hakuna kitu kinafanya kazi hivyo
 
Last edited by a moderator:
kampuni inayoongoza kuboronga na kuwaibia wateja ni Apple
IDF 2011: Intel Presenter Complains Cooling is an "Afterthought" for Apple

What can Intel do to stop companies like Apple from selling overheating designs? "Nothing", presenter says.

In the quick IDF 2011 notes category, we wanted to share a humorous exchange we had with an Intel Corp. (INTC) engineer. Joshua Linden-Levy is a "Mechanical Pathfinding Engineer" at Intel and delivered a terrific presentation on cooling in Oak Trail, the Intel Atom platform that replaces Pine Trail.

In the presentation Mr. Linden-Levy discussed how the target temperature for laptops was 58 Celsius, according to industry standards. Given the high temperatures long suffered by various editions of Apple, Inc.'s (AAPL) MacBook Pros, we wanted to ask him how Intel plans to keep its partners (like Apple) from violating the proposed thermal guidelines on Oak Trail and its other product lines (Apple is unlikely to use Oak Trail, but typically uses other Intel's mainstream notebook and desktop processor lines in its models).

During the Q&A session Mr. Linden-Levy acknowledged hearing about Apple's laptop thermal issues. What can Intel do prevent partners from committing such thermal botch jobs? "Nothing," says Mr. Linden-Levy, "[the manufacturer will] just get a bad reputation among consumers."

As we discussed the issue further he added, "Well as you know, with Apple their chief priority is always form and looks -- everything else, including cooling design is an afterthought."

We found the presenter's informed, earnest unscripted dialogue about one of his company's largest partners refreshing.

Currently the thermal problem-plagued MacBook Pro models sell for almost twice the price of comparable hardware models from ASUSTEK Computer Inc. (TPE:2357). Of course ASUSTEK's laptops lack the special aluminum unibody -- but when that unibody can get as hot as 100 degrees Celsius, it's hardly a selling point.

To be fair, less pricey models from
Sony Corp. (TYO:6758) and Dell, Inc. (DELL) have suffered from similar issues [1][2]. Unlike these companies, though, Apple often refuses to recall or fully patch its faulty products.
 
kampuni inayoongoza kuboronga na kuwaibia wateja ni Apple
last time i checked they had 90% satisfaction rate from their customers, find the next company close the figures wil be about 70%. If you believe what you read from some lonely writers hating apple just google around when apple release their product and you will get a picture and decide for your self.
 
last time i checked they had 90% satisfaction rate from their customers, find the next company close the figures wil be about 70%. If you believe what you read from some lonely writers hating apple just google around when apple release their product and you will get a picture and decide for your self.

Hayo siyo maelezo ya end user au customer kama mimi na wewe ni malezo ya chip maker wanaotengenza chip zinazotumika ndani ya apple. Apple ni jina tu na kwa kuwa ni kampuni ya US basi wanaibiwa wengi. Ingekuwa hiyo hiyo apple ni ya China PR yake ingekuwa mbaya sana.. As simple as that

Mtaalam wa Intel Corp. anaona Apple msisitizo wake ni vifaa vyao viwe "ki- Miss" "MIiss" na sio perfomance. Wao msisitizo ni form and look tu mengine baadaye.

Wateja wengine wenye utaalam wanasema hivi
Apple will say "it is NOT a design flaw", it is intentional that the product has built in obsolescence!. After AppleCare expires, the machine is unlikely to last a few months longer. Just look at the stats. They encourage users to upgrade every 2-3 years hence, ensuring repeat business!. It is Job's brilliance to have world full of suckers buying their stuff.

Or else the battery dies and one has to spend plenty $$$ just to get them replaced. Yet will not last another 12 months ...

Yeah, Build-in obsolescence is their model!.


MWingine ana eperince hii
Unfortunately that doesn't sound too far from the truth...

My 2007 white MacBook had troubles 3 months into ownership and Apple refused to acknowledge that there was a problem with my DVD drive or even replace it. It died a month later. Then the laptop got really hot and then refused to boot in 2010, meanwhile my 2007 Thinkpad T60 is still alive and kicking. Apple even had the nerve to tell me I shouldn't have been so rough with the notebook (I complained of cracking) then when I explained that the MacBook was on my desk for 80% of the time and in a well padded hardcase during travel the "Genius" says that it's meant to be portable.

My brother's year old MacBook Pro is now suffering from constant spinning circles after a security update and Apple quoted the AppleCare sales pitch then told him to shove off (not in those words but the tone).

Still, I haven't found a laptop that has a trackpad that was as nice to use as the one on the MacBook.

Apple wako best kwenye marketting tu but technically...............................
 
umeona apple wakiadavatizi bongo au wafuata mkumbo tuu unavyosoma online. Siye tunaona product tunajaribu na tunatamani hiyo ndo habari hao unaosema ni maexpati mimi nazani ni wakuchukia apple tuuu.
 
umeona apple wakiadavatizi bongo au wafuata mkumbo tuu unavyosoma online. Siye tunaona product tunajaribu na tunatamani hiyo ndo habari hao unaosema ni maexpati mimi nazani ni wakuchukia apple tuuu.

Hata wewe na mimi ni end user ina maana wewe una technica detail zaidi uhusu apple kuliko mtaalam wa Intel Una knowledge zidi kuzidi supplier watengea chipzinazotumika ndani ya apple.

Labda nijulishe wewe kwenye elctronics unajua nini mabacho huyu hajui huyu Intel Corp. (INTC) engineer. Joshua Linden-Levy hajui ambaye kampuni yake ina supply chip apple

This is the ugly truth for apple fans

  • Apple are ony best in marketting.
  • Apple products are overpriced
  • Apple most priority is form and look. Other things comes later
 
Hata wewe na mimi ni end user ina maana wewe una technica detail zaidi uhusu apple kuliko mtaalam wa Intel Una knowledge zidi kuzidi supplier watengea chipzinazotumika ndani ya apple.

Labda nijulishe wewe kwenye elctronics unajua nini mabacho huyu hajui huyu Intel Corp. (INTC) engineer. Joshua Linden-Levy hajui ambaye kampuni yake ina supply chip apple

This is the ugly truth for apple fans

  • Apple are ony best in marketting.
  • Apple products are overpriced
  • Apple most priority is form and look. Other things comes later
Are your expertise are not the same expertise who said iPhone ingeshindwa walivyoleta sokoni na si ndo hao hao unaowaita exparties walisema pia iPad ni iPhone kubwa tuu na kamakituko angalia sasa iPad ndio king wa soko jipya la tablet computers na experts wako bado wanatamani other competitors wawapiku apple ndoto zao…….. Mimi ni end user na nikiona mahali kama karestorant watu wengi wamejaa humo naingia sio kale karestorant kanaonekana kachafu na viinzi wenige ndo niende. Hiyo ndo akili yangu kama mteja kama yako ni ya kiexpert wewe nenda kwa hili restaurant ambayo haina wateja ujionee mwejewe kwanini haijaa jaa.
 
samsunggalaxynexusliveblog1741.jpg
Adroid wameshindwa tena kwenye uzinduzi wa OS huko Hong kong ikashindwa kufanya kazi wameleta features kama una weza fungua simu na sura yako badala ya kuweka number au kuswipe. Da lakini kama kawaida hakuna kitu kinafanya kazi kama wanavyo advatize. Ngojea tusubirie Apple walete hizo features kwa ios waonyeshwe jinsi zinavyotakiwa kupiga kazi. Hapo chini ni tangazo zuri la android lakini usimezee hakuna kitu kinafanya kazi hivyo


Samahini naona umeniacha njiani. Unaweza niambia wameboronga kivipi?
 
Last edited by a moderator:
Samahini naona umeniacha njiani. Unaweza niambia wameboronga kivipi?

Features did not work like their suppose to work. Jamaa alikuwa anafungua simu na surayake kwa steji na ikamkatalia
 
Features did not work like their suppose to work. Jamaa alikuwa anafungua simu na surayake kwa steji na ikamkatalia

its unfinished software,thats why the test units ddnt have the feature! Du acha kuhate bana i4 ICS means business!
 
Features did not work like their suppose to work. Jamaa alikuwa anafungua simu na surayake kwa steji na ikamkatalia

What about if he was trying to open a phone which was not his? They way I see it ni kwamba alichukua simu ambayo sio yake akajaribu kuifungua kwani wakati wa ku launch hizo product they do not use their own phone but rather phones which are special for the launch event. Unless you have information indicating that he used his own phone to demonstrate the technology then you are wrong in arriving at your conclusion.

Look at the clip showing the entire event before jumping to conclusions.
 
What about if he was trying to open a phone which was not his? They way I see it ni kwamba alichukua simu ambayo sio yake akajaribu kuifungua kwani wakati wa ku launch hizo product they do not use their own phone but rather phones which are special for the launch event. Unless you have information indicating that he used his own phone to demonstrate the technology then you are wrong in arriving at your conclusion.

Look at the clip showing the entire event before jumping to conclusions.
kwa hiyo unataka kusema walikuwa hawajajitayarisha sasa si ndo maana nikasema wamebolonga kama kawaida yao sioni kipya wewe utapandaje kwa steji alafu hujui ni phoni ipi ya demo kwani unazani wanasimamishaga tuu jamaa kutoka kwa umati aoneshe demo. Anyway hayo ndo mambo ya adroid live live sasa fikiria ukiwa unaishi na hako kadivice..... itakuwa kero tupuuu. Ni kama mtu anakuletea keki ya harusi ya gorofa alafu inaletwa imevunjika vunjiaka, hata huwezi tambua ninini. Hiyo tunasemaga ni kuboronga........
 
i411 is apple addict. I think you drink iTea in the morning and get iLunch and finally iDinner.
Huwezi ona kengeza maana umependa chongo!
Apple ina mapungufu makubwa tu pia! Na hiyo story yako inaweza kuwa influenced na iAddiction. Haiwezekani watu wafanye iDemonstration bila kuwa walishafanya iMajaribio kabla.
Usiwe too iFanatical :)
 
i411 is apple addict. I think you drink iTea in the morning and get iLunch and finally iDinner.
Huwezi ona kengeza maana umependa chongo!
Apple ina mapungufu makubwa tu pia! Na hiyo story yako inaweza kuwa influenced na iAddiction. Haiwezekani watu wafanye iDemonstration bila kuwa walishafanya iMajaribio kabla.
Usiwe too iFanatical :)
you have got cute imagination of my ilife well unfortunate i haven't got to that level. Im just standing for the best. as a customer i have said already i would not got to the restaurant were there are no customer or i feel i wil get a bad service. unluck for adroid are one of those restaurant were your likely to get a bad service just a feeling and like the flop presentation they had says it all. with Apple all the research i do by my self and decide i only find out cutover are willing to wait for even a week to get a device, thats tell me more of the satisfaction of the product than any specialist would have.
 
you have got cute imagination of my ilife well unfortunate i haven't got to that level. Im just standing for the best. as a customer i have said already i would not got to the restaurant were there are no customer

Usage share of Operating System
220px-Operating_system_usage_share.svg.png

Source Wikipedia


[h=1]Android Nipping at iOS’ Heels in Market Share [STATS][/h]
smartphone-os-nov2010.png


Source[url]http://mashable.com

http://articles.businessinsider.com/keyword/platform[/URL][h=1]Android Is Destroying Everyone, Especially RIM -- iPhone Dead In Water[/h]


Read more about this and see the statistics at : http://articles.businessinsider.com/


Just Google "Android vs Ios" Uone mwenyewe uachambuzi wa wataalmu tena wengine wale wa US nyumbani kwa IOS


i feel i wil get a bad service.

Bad service wanaongoza Mac na Apple. Mkuu wewe ni mshabiki wa Apple kam vile watu tunavyokuwa wshabiki wa timu za soka badala y kuwa wasabiki wa mchezo wa soka.

unluck for adroid are one of those restaurant were your likely to get a bad service just a feeling and like the flop presentation they had says it all.
Presentation Sio simu Mkuu . yaani wewe unajudhge kitu kwa presentatin ya stjeini. Ukiwa na mpuni unaweza kuajiri mwanasheria kwenye kazi ya uinjinia just because alizungumza vizuri wenye interview. Kuna criteria za evalution na hsio busara kufanya kwa cosidaretion ya criterion moja.Unless u re corrupt. Ndio maana hata bongo Tulipata Richmond sababu eti bei yao iliuwa chini. kumbe kampuni ya kwenye brifcase

Behind the scene Apple wa "technical flop" nyingi sana. User wana equipmenet zenye bug na flaw kibao. Thanks we are end user
They had says it all. with Apple all the research i do by my self and decide i only find out cutover are willing to wait for even a week to get a device, thats tell me more of the satisfaction of the product than any specialist would have.

Kama alivyosema jamaa juu it is because if the near to perfect maraketting starttegy. B ut if u think andrd is bad then IOS is worse than android. Alwasy be worried of closed systems
 
Usage share of Operating System
220px-Operating_system_usage_share.svg.png

Source Wikipedia


Android Nipping at iOS' Heels in Market Share [STATS]


smartphone-os-nov2010.png


Sourcehttp://mashable.com

Android Is Destroying Everyone, Especially RIM -- iPhone Dead In Water




Read more about this and see the statistics at : http://articles.businessinsider.com/


Just Google "Android vs Ios" Uone mwenyewe uachambuzi wa wataalmu tena wengine wale wa US nyumbani kwa IOS






Bad service wanaongoza Mac na Apple. Mkuu wewe ni mshabiki wa Apple kam vile watu tunavyokuwa wshabiki wa timu za soka badala y kuwa wasabiki wa mchezo wa soka.


Presentation Sio simu Mkuu . yaani wewe unajudhge kitu kwa presentatin ya stjeini. Ukiwa na mpuni unaweza kuajiri mwanasheria kwenye kazi ya uinjinia just because alizungumza vizuri wenye interview. Kuna criteria za evalution na hsio busara kufanya kwa cosidaretion ya criterion moja.Unless u re corrupt. Ndio maana hata bongo Tulipata Richmond sababu eti bei yao iliuwa chini. kumbe kampuni ya kwenye brifcase

Behind the scene Apple wa "technical flop" nyingi sana. User wana equipmenet zenye bug na flaw kibao. Thanks we are end user


Kama alivyosema jamaa juu it is because if the near to perfect maraketting starttegy. B ut if u think andrd is bad then IOS is worse than android. Alwasy be worried of closed systems
Matatizo yenu nyie watu wa kambi ya android mnafuata sana hawa watu mnawaita exparties na ndo wanawapotosha na mwanunua bidhaa ovyo ndo hawa hawa wanaoitwa expaties wanaiingiza nchi yetu katika mikataba mibovu wao wakiendelea kutazama kwa pembeni. hebu just google people waiting for ipad and iphone ujionee mwenyewe alafu nenda google people waiting for androi devices uone tofauti hata huitaji unaoita exparties wakusaidi common sense to ndo inahitajika na bloggers.
 
If you don't own iProduct you don't have an authority to comment.I have been using apple products for years and they are more than perfect and boost my productivity.speak from your own experience rather than copying and pasteing from haters experience.
 
Back
Top Bottom