Andika chochote Kuhusu Technology hizi (Dolby & DTS)

Andika chochote Kuhusu Technology hizi (Dolby & DTS)

Hazchem plate

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
11,053
Reaction score
15,515
Watanzania Wengi hawajui Vionjo vinvyopatiakana kutikana na Technology (Dolby Digital, Dolby Atmos, Dolby pro Logic, Dolby purse, Dolby true HD, Dolby Digital +DTS, DTS primere) linapokuja suala la Cinema/ Movies.

Ni wazi kabisa wengi wamezoea kuyaona hayo maneno katika matangazo, muvies Trailers na Muvies covers lakini hawajui nini yanamaanisha.

Nimefungua uzi huu ili kwa kila anayejua basi aandike chochote ili watu wajifunze kupitia andiko. Hata mm nitaandika kama mchangiaji wa kawaida na kama sio OP

Thread imefunguliwa Karibuni nyote
2018-07-22-22-29-12-584129618.jpeg
dolby-digital-ex-pro-logic-ii.png
free-vector-digital-dts-surround-0_037605_digital-dts-surround-0.png
images-1.png
images-2.png
images-3.png
images-4.png
images-9.jpeg
Logo Dolby Digital.jpg
2018-07-22-22-29-12-584129618.jpeg
2018-07-22-22-29-12-584129618.jpeg
2018-07-22-22-29-12-584129618.jpeg
dolby-digital-ex-pro-logic-ii.png
Logo Dolby Digital.jpg
Logo Dolby Digital.jpg
images-9.jpeg
images-4.png
images-3.png
 
Nyingi hapo zinausiana na mfumo wa sauti.


Hata hivo kibongo bongo wengi hazina mantiki kwani mfumo wa sauti wenye kusapoti hivo vitu hawana. Na hata walionavyo hawajapangilia ili kupata ile ladha iliyokusudiwa.

Mfano dolby atmos (7.1/7.2) 5.1.2=5 (front r & left >center chanel>surrounding right and left.) 1 (subwoofer) 2( ceiling speaker or front high right & left)


Sasa wengi hata hiyo system hatuna zaidi y 2 chanel subwoofer ukijitahidi sana unakuta una 5.1 home theater.

Kwanza ni ghali mno.
Kwa nilivofatilia ili uwe na mfumo mzuri wa sound home wa kusapot hizo features hapo uwe na si chini ya million 2.
 
Back
Top Bottom