Anayemsapoti Ndugai asema ametumia sheria gani au kifungu kipi cha Katiba kuunda au kuchagua taasisi ya kumkagua CAG?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Hivi Job ndugai yuko sawa au wivu, au kisasi au, ana lazimisha CAG Nae akaguliwe hesabu zake, je anaye Mkagua CAG nae yeye ana kaguliwa na nani?

Kisheria sijaona kuwa kuna taasisi yoyote ambayo ipo kisheria imepewa jukumu la kukagua hesabu za CAG kwa lugha nyepesi hizi ni mbinu za kumchafua CAG zinazo ratibiwa na JIWE pamoja na wasaidizi wake akiwemo Ndugai

Mwisho kabisa ndugai anasema Masele ana ongea vitu vya ovyo, na anadai kuwa anadhani masele kuwa ajui kilicho mpeleka kwenye bunge la Africa,

Kifupi Mimi nataka kumwambia ndugai yeye ndio ajui wajibu wake pale bungeni kabaki kuwa mtu mlopokaji asie jitambua Askofu shoo Ali muonya tulidhani atajirudi mahali pake cha ajabu ndio anaharibu zaidi

Nadhani hii ni laana ya Madhabau
#2020Mwagapombe
 
Hili suala la CAG huyu Ndugai sijui analikuza kwa maslahi ya nani, labda kama ni mchezo wamekubaliana ili kuhamisha mijadala ambayo ni michungu kwa Serikali, kinyume na hapo ni upuuzi na upumbavu mtupu, majukumu ya CAG yanajulikana na majukumu ya bunge yanajulikana sasa sijui huu ufukunyuku wa ndugu yai ..sorry Ndugai unatoka wapi?
 
Je nani hayuko timamu kati ya anayejadili ishu za danga na danga (dunga) mwenyewe
 
Hivi Job ndugai yuko sawa au wivu, au kisasi au, ana lazimisha CAG Nae akaguliwe hesabu zake, je anaye Mkagua CAG nae yeye ana kaguliwa na nani?

Kisheria sijaona kuwa kuna taasisi yoyote ambayo ipo kisheria imepewa jukumu la kukagua hesabu za CAG kwa lugha nyepesi hizi ni mbinu za kumchafua CAG zinazo ratibiwa na JIWE pamoja na wasaidizi wake akiwemo Ndugai

Mwisho kabisa ndugai anasema Masele ana ongea vitu vya ovyo, na anadai kuwa anadhani masele kuwa ajui kilicho mpeleka kwenye bunge la Africa,

Kifupi Mimi nataka kumwambia ndugai yeye ndio ajui wajibu wake pale bungeni kabaki kuwa mtu mlopokaji asie jitambua Askofu shoo Ali muonya tulidhani atajirudi mahali pake cha ajabu ndio anaharibu zaidi

Nadhani hii ni laana ya Madhabau
#2020Mwagapombe
Umeambiwa ametumia kanuni za bunge!
 
Suala la CAG kukaguliwa na Bunge lipo kikanuni. Vinginevyo Ofisi ya CAG isingeridhia ukaguzi huo.
Hata hivyo lengo la Spika kuagiza ukaguzi huo ni kumchimba CAG Assadi. Chochote atakachokikuta katika huo ukaguzi kama dosari, however trivial, tutegemee atakikuza sana kwa chuki tu.
Ila kwa ninavyo mfahamu CAG Assadi, akitupiwa lawama za kitoto na Ndungai, atamjibu kisomi na kitaalam. Na hapo moto utalipuka tena.
Lengo la Spika linaonekana ni kumshikisha adabu Assadi however it takes.
 
Nadhani ofisi ya CAG kama sehemu ya chombo cha serikali ni sawa kukaguliwa, na naamini hili limekuwa likifanyika miaka yote.

Binafsi ugomvi wangu uko kwenye mambo mawili.
1. Kwanza namna speaker alivyoelezea audit husika. Katumia hulka za kike sana, hili linaweza lisiwe swala kuuuubwa sana la kiuongozi katika Taifa hasa ukizingatia kwamba ni kama vile tabia za ushoga zinaanza kukubalika nchini kwetu.

Hata hivyo sijawahi kusikia ndugai akihusishwa na tabia za kishoga hata mara moja, japo tunaweza hoji kwanini hajasikika akikemea kwa namna yoyote ile tabia za kishoga hata wakati baadhi ya wabunge wanaposemwa semwa kujihusisha na uchafu huo.

Mimi naomba niwe wa kwanza kupinga uwezekano wa ndugai kuwa na tabia hizi hata kama utafanyika upotoshaji wa kujaribu kumuhusisha na tabia hiyo kwa madai kwamba hata hatua yake ya kuonekana anapingana na mheshimiwa masele katika kupinga mambo ya unyanyasaji wanawake kijinsia yanatokana na kutowapenda wanawake sababu anawachukulia kiupinzani zaidi katika mambo ya sita kwa sita.

Ila hili la CAG ndugai kalireport kike sana, na kama hiyo inaweza kuwa sababu ya baadhi yetu kutaka achunguzwe kama anajihusisha na mambo ya ushoga au la ni bora huo uchunguzi ufanyike ili kuondoa utata hasa ukizingatia sio wanawake wote huongozwa na tabia tabia za kike katika utendaji wao wa kiuongozi.

Na kama itabainika, kwamba anajihusisha na tabia hizi basi kama taifa tuamue, ama turudi nyuma na kuzuia wanawake kushika nafasi za uongozi au tuendelee kukumbatia sera za kiliberali japo tuweke taratibu za kuwazuia watu wenye tabia za namna hiyo kushika nafasi za uongozi.

2. Pili, ni hawa mangesho. Hawa waliwahi kufungiwa kwa muda fulani kujihusisha na mambo ya ukaguzi wa mahesabu. Hawa hawakuwa na tofauti na raia ambao hawawezi kuajiriwa ama kushika nafasi fulani fulani za kada ya uongozi wa taifa letu sababu wamewahi kutumikia kifungo kwa makosa ya jinai.

Sasa inakuaje hawa wanapewa kazi na chombo kikubwa namna hii katika kada ya uongozi wa Taifa.

Katika tasnia ya uhasibu,kosa lililosababisha NBAA ikawafungia mangesho ni sawa na makosa ya jinai kwa raia.

Why?
 
Huyu baba sijui ana matatizo gani. Siku zinavyokwenda ndio nchi inazidi kuingia kwenye mambo ya hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom